bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,374
- 3,972
Hili kundi naona limepoteza muelekeo sikuiz,matangazo nayo yamekua part ya program, hata kipengele rahisi cha songi la leo kila siku kurudia tu.
Ushauri wangu kwao ni kua wasione aibu kutangaza kua wanaacha komedi na kuendeleza miradi yao maana tumeona wamepewa matrekta juzijuzi tu.
Ushauri wangu kwao ni kua wasione aibu kutangaza kua wanaacha komedi na kuendeleza miradi yao maana tumeona wamepewa matrekta juzijuzi tu.