Orijino Komedi yafulia

Orijino Komedi yafulia

Hivi humu JF kuna tunachosifu kweli!

Maana leo tunasema wameisha wakati hatujawahi kukubali kwamba wako juu.
 
We sema wamefulia wakati juzi tu wamenunua matreka 7. Wenzanko wanapata pesa wewe wapiga kelele hata ya mkate huna
 
hayo matangazo ni lazima cz ndio wanapopatia hela yao, they get a percentage kisha wanawakatia tbc chao life linaendelea, so matangazo ni lazima, hela ile
 
Hili kundi naona limepoteza muelekeo sikuiz,matangazo nayo yamekua part ya program, hata kipengele rahisi cha songi la leo kila siku kurudia tu.

Ushauri wangu kwao ni kua wasione aibu kutangaza kua wanaacha komedi na kuendeleza miradi yao maana tumeona wamepewa matrekta juzijuzi tu.

Ha ha kwa hiyo kwa sasa wanalima?
 
We sema wamefulia wakati juzi tu wamenunua matreka 7. Wenzanko wanapata pesa wewe wapiga kelele hata ya mkate huna

Ujaelewa nilichoandika?nimesema wamefulia kikazi yao ya komedi na kama wanaona haiwalipi tena waende zao kujikita mashambani full time wasione aibu sababu naona less commitment sikuiz.and by the way ninayo pesa ya kukulisha wewe na demu wako mwaka mzima.
 
hayo matangazo ni lazima cz ndio wanapopatia hela yao, they get a percentage kisha wanawakatia tbc chao life linaendelea, so matangazo ni lazima, hela ile

Matangazo ambayo ni part ya kipindi?yani hawaendi break kuleta matangazo wanatoa matangazo on air ni sawa?
 
Hiv kumbe wapo, m nafaham kuwa wameacha.. anyway kwa ninavyo wajua wapo vzr ila tu hyo tbc ndo shida kubwa,

Wahame waende station nyingine, maana pia nahic hawako huru kama mwanzo
 
Actually ni suala la mitazamo, wale jamaa ni wazuri sana na wabunifu kitu ambacho wachekeshaji wengi hapa Tz hawana, ila kwa sasa umaarufu wao umepungua na hiyo ni sababu ya mambo mengi sio kufulia katika kiwango chao cha uigizaji LA hasha, sababu kubwa ni Televisheni wanayoonekana kupoteza mvuto toka kwa watazamaji, hata use nzuri kiasi gani katika kile ufanyacho lakini kama hauonekani, haupewi nafasi ni ngumu kutambulika. TBC Imepoteza mvuto hali ambayo imechangia origino komedi kutoonekana na kuanza kusahaulika, mfano sasa kipindi chao kinarushwa usiku hata siku siijui ya uhakika ila nimewahi kubahatisha kama Mara mbili kwa siku tofauti kuanzia SAA 3 usiku tena kwa bahati kwakuwa nilikuwa najaribu kuangalia chaneli na sio kukitafuta kipindi husika. Nasimama kusahihishwa ila waigizaji Wa kundi lile wako vizuri, hapa tutofautishe hisia zetu za kutoipenda TBC na kikundi cha Origino komedi. Mpoki yuko vizuri sana na wengine kina joti, na wote kwa ujumla. Hayo ni mawazo yangu tu.
 
Matangazo ambayo ni part ya kipindi?yani hawaendi break kuleta matangazo wanatoa matangazo on air ni sawa?

imepita muda mrefu sijaangalia, ila lazima wawe na mpangilio wa kuweka tangazo, na pia inategemea hilo tangazo linawasilishwaje, kama by them personally lazima watengeneze kama kaclip part of hicho kipindi ilinkuair hilo tangazo
 
Hili kundi naona limepoteza muelekeo sikuiz,matangazo nayo yamekua part ya program, hata kipengele rahisi cha songi la leo kila siku kurudia tu.

Ushauri wangu kwao ni kua wasione aibu kutangaza kua wanaacha komedi na kuendeleza miradi yao maana tumeona wamepewa matrekta juzijuzi tu.
Wakati ukuta kila jambo lina ukomo wake
 
And finally,it died.

Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom