Oral interview customs officer II nimekula za uso

Oral interview customs officer II nimekula za uso

Jitsu

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2018
Posts
247
Reaction score
280
Wazee at my age nimeshahudhuria interview nyingi za oral na written, ila ya leo wazee nisiwe muongo nimeshikwa pabaya, kama kawaida yangu nilijiandaa vya kutosha na nikahakikisha niko nondo, nikijua kuwa naenda kwenye interview ya oral na kawaida huanza na swali la introduce your self,

Ila nikakutana na benefits of duty remission 🤣🤣🤣, mpaka hapo nikawa nje ya mchezo, anza kujiuliza kwa hiyo leo swali letu pendwa halipo?? Huku unaumiza kichwa kutafuta hizo points za duty remission, unasema likitoka hili litakalokuja lazima ni-equalize,...

Hee kinaingia chuma tena cha moto kuliko cha kwanza, Wazee yani katika maswali saba just maswali mawili ndio nimetembea with full of confidence,... Sijawahi toka usahili wa oral nikiwa natetemeka na sina matumaini,..... Hebu candidates wenzangu wa custom officer niambieni kama macho yamenitoka peke yangu
 
Wazee at my age nimeshahudhuria interview nyingi za oral na written, ila ya leo wazee nisiwe muongo nimeshikwa pabaya, kama kawaida yangu nilijiandaa vya kutosha na nikahakikisha niko nondo, nikijua kuwa naenda kwenye interview ya oral na kawaida huanza na swali la introduce your self, ila nikakutana na benefits of duty remission 🤣🤣🤣, mpaka hapo nikawa nje ya mchezo, anza kujiuliza kwa hiyo leo swali letu pendwa halipo?? Huku unaumiza kichwa kutafuta hizo points za duty remission, unasema likitoka hili litakalokuja lazima ni-equalize,... Hee kinaingia chuma tena cha moto kuliko cha kwanza,..... Wazee yani katika maswali saba just maswali mawili ndio nimetembea with full of confidence,... Sijawahi toka usahili wa oral nikiwa natetemeka na sina matumaini,..... Hebu candidates wenzangu wa custom officer niambieni kama macho yamenitoka peke yangu
Kuna dogo anapiga kesho ngoja nimpange apitie vyema makabrasha ya Data Management
 
Wazee at my age nimeshahudhuria interview nyingi za oral na written, ila ya leo wazee nisiwe muongo nimeshikwa pabaya, kama kawaida yangu nilijiandaa vya kutosha na nikahakikisha niko nondo, nikijua kuwa naenda kwenye interview ya oral na kawaida huanza na swali la introduce your self, ila nikakutana na benefits of duty remission 🤣🤣🤣, mpaka hapo nikawa nje ya mchezo, anza kujiuliza kwa hiyo leo swali letu pendwa halipo?? Huku unaumiza kichwa kutafuta hizo points za duty remission, unasema likitoka hili litakalokuja lazima ni-equalize,... Hee kinaingia chuma tena cha moto kuliko cha kwanza,..... Wazee yani katika maswali saba just maswali mawili ndio nimetembea with full of confidence,... Sijawahi toka usahili wa oral nikiwa natetemeka na sina matumaini,..... Hebu candidates wenzangu wa custom officer niambieni kama macho yamenitoka peke yangu
Tra?
 
Wazee at my age nimeshahudhuria interview nyingi za oral na written, ila ya leo wazee nisiwe muongo nimeshikwa pabaya, kama kawaida yangu nilijiandaa vya kutosha na nikahakikisha niko nondo, nikijua kuwa naenda kwenye interview ya oral na kawaida huanza na swali la introduce your self, ila nikakutana na benefits of duty remission 🤣🤣🤣, mpaka hapo nikawa nje ya mchezo, anza kujiuliza kwa hiyo leo swali letu pendwa halipo?? Huku unaumiza kichwa kutafuta hizo points za duty remission, unasema likitoka hili litakalokuja lazima ni-equalize,... Hee kinaingia chuma tena cha moto kuliko cha kwanza,..... Wazee yani katika maswali saba just maswali mawili ndio nimetembea with full of confidence,... Sijawahi toka usahili wa oral nikiwa natetemeka na sina matumaini,..... Hebu candidates wenzangu wa custom officer niambieni kama macho yamenitoka peke yangu
Pole mkuu.
 
Wazee at my age nimeshahudhuria interview nyingi za oral na written, ila ya leo wazee nisiwe muongo nimeshikwa pabaya, kama kawaida yangu nilijiandaa vya kutosha na nikahakikisha niko nondo, nikijua kuwa naenda kwenye interview ya oral na kawaida huanza na swali la introduce your self, ila nikakutana na benefits of duty remission 🤣🤣🤣, mpaka hapo nikawa nje ya mchezo, anza kujiuliza kwa hiyo leo swali letu pendwa halipo?? Huku unaumiza kichwa kutafuta hizo points za duty remission, unasema likitoka hili litakalokuja lazima ni-equalize,... Hee kinaingia chuma tena cha moto kuliko cha kwanza,..... Wazee yani katika maswali saba just maswali mawili ndio nimetembea with full of confidence,... Sijawahi toka usahili wa oral nikiwa natetemeka na sina matumaini,..... Hebu candidates wenzangu wa custom officer niambieni kama macho yamenitoka peke yangu
Customs Officer mlikuwa panel ngapi za kufanyia oral interview ni moja au vyumba tofauti tofauti
 
Wazee at my age nimeshahudhuria interview nyingi za oral na written, ila ya leo wazee nisiwe muongo nimeshikwa pabaya, kama kawaida yangu nilijiandaa vya kutosha na nikahakikisha niko nondo, nikijua kuwa naenda kwenye interview ya oral na kawaida huanza na swali la introduce your self, ila nikakutana na benefits of duty remission 🤣🤣🤣, mpaka hapo nikawa nje ya mchezo, anza kujiuliza kwa hiyo leo swali letu pendwa halipo?? Huku unaumiza kichwa kutafuta hizo points za duty remission, unasema likitoka hili litakalokuja lazima ni-equalize,... Hee kinaingia chuma tena cha moto kuliko cha kwanza,..... Wazee yani katika maswali saba just maswali mawili ndio nimetembea with full of confidence,... Sijawahi toka usahili wa oral nikiwa natetemeka na sina matumaini,..... Hebu candidates wenzangu wa custom officer niambieni kama macho yamenitoka peke yangu
Bro TMO nmeifanya jana akili imevurugika yani discussion zote zile ni kama nmekesha bure
 
Wazee at my age nimeshahudhuria interview nyingi za oral na written, ila ya leo wazee nisiwe muongo nimeshikwa pabaya, kama kawaida yangu nilijiandaa vya kutosha na nikahakikisha niko nondo, nikijua kuwa naenda kwenye interview ya oral na kawaida huanza na swali la introduce your self,

Ila nikakutana na benefits of duty remission 🤣🤣🤣, mpaka hapo nikawa nje ya mchezo, anza kujiuliza kwa hiyo leo swali letu pendwa halipo?? Huku unaumiza kichwa kutafuta hizo points za duty remission, unasema likitoka hili litakalokuja lazima ni-equalize,...

Hee kinaingia chuma tena cha moto kuliko cha kwanza, Wazee yani katika maswali saba just maswali mawili ndio nimetembea with full of confidence,... Sijawahi toka usahili wa oral nikiwa natetemeka na sina matumaini,..... Hebu candidates wenzangu wa custom officer niambieni kama macho yamenitoka peke yangu
Yote maisha, hongera sana kwa usahili
 
Hii mitihani ya oral ambayo malecture/NBAA sio mchezo majority kila mtu kuna sehem kala za uso.Kuna mtu alifanya vizuri written alipata 97 kaenda oral kumuuliza anasema aliyoyakuta hakutegemea yaan ni maswali ambayo hakutarajia ni kuomba tu Mungu
 
Interview za serikali ukiulizwa swali usiseme hujui au ukakaa kimya,bora ujibu hata kama ukikosa kuna namna nyingine huwa wanaangalia namna ya kuadjust marks
Ajibu kitu ambacho hakijui?

Kwa mfano huujui huo msamiati uitwao remission ukawaambia wakupe ufafanuzi ili ujibu vyema kuna tatizo lolote hapo kwenye intavyuu ?
 
Wazee at my age nimeshahudhuria interview nyingi za oral na written, ila ya leo wazee nisiwe muongo nimeshikwa pabaya, kama kawaida yangu nilijiandaa vya kutosha na nikahakikisha niko nondo, nikijua kuwa naenda kwenye interview ya oral na kawaida huanza na swali la introduce your self,

Ila nikakutana na benefits of duty remission 🤣🤣🤣, mpaka hapo nikawa nje ya mchezo, anza kujiuliza kwa hiyo leo swali letu pendwa halipo?? Huku unaumiza kichwa kutafuta hizo points za duty remission, unasema likitoka hili litakalokuja lazima ni-equalize,...

Hee kinaingia chuma tena cha moto kuliko cha kwanza, Wazee yani katika maswali saba just maswali mawili ndio nimetembea with full of confidence,... Sijawahi toka usahili wa oral nikiwa natetemeka na sina matumaini,..... Hebu candidates wenzangu wa custom officer niambieni kama macho yamenitoka peke yangu
Daaah,pole sana ila swali lilikua rahisi mno mkuu sema labda ulipanic,ungeijua tafsiri ya hiyo duty remission tu ulikua umetoboa,sio mbaya ndio kujifunza kwenyewe huko
 
Back
Top Bottom