Daah mwanang naona una uhakika umetoboa lile paperNaombeni kujua tuliokwisha kuwahi kushiriki interview za oral ya Tax management officer 2 maswali yepi huwa wanatoa na yanakua mangapi na unatumia takriban muda gani kuhojiwa? Ivo
Subiri kwanza matokeo, ukiitwa ndio uanze kutafuta hayo maswaliNaombeni kujua tuliokwisha kuwahi kushiriki interview za oral ya Tax management officer 2 maswali yepi huwa wanatoa na yanakua mangapi na unatumia takriban muda gani kuhojiwa? Ivo
Mkuu ushatoboa kabisa in advance uhakika written. SafiNaombeni kujua tuliokwisha kuwahi kushiriki interview za oral ya Tax management officer 2 maswali yepi huwa wanatoa na yanakua mangapi na unatumia takriban muda gani kuhojiwa? Ivo
Halafu wewe ukiaangalia hukujaza paper mbili....hatari sana kuna watu wako positiveDaah mwanang naona una uhakika umetoboa lile paper
Asnte Sana mkuuKuhusu suala la mda halipo constant.. hii inatokana nawe umejiandaaje.. koz Oral hawahitaji explaination. Ukiwa nondo hata 6-8 minutes unacheza huyoOoOO unatafuta njia ya kwenu
Kwa Imani TU broDaah mwanang naona una uhakika umetoboa lile paper
God bless you sir1.Swali la duties and responsibilities za tax officer
2.Tell us your education background from primary and working experience if any
3.Tax base and Tax burden
4.Umuhimu wa kukusanya Kodi kielectronic na hasara zake