Kighono kighonk
Member
- Oct 9, 2023
- 25
- 14
Matokeo ya oral TRA bado wakuu?
Jiandae na wiki ijayo mkuu, andaa ile suti yako na tai kwa ajili ya inductionMatokeo ya oral TRA bado wakuu?
Hongera sana mkuu Mungu akutangulieJamani nashukuru Mungu pamoja na hofu ya kuogofya niliyokuwa nayo, nimepata email ya kuitwa kazini, sifa za pekee ziende kwa Mungu wetu, jina lake lihimidiwe,.... Am really happy for this
Kada ganiJamani nashukuru Mungu pamoja na hofu ya kuogofya niliyokuwa nayo, nimepata email ya kuitwa kazini, sifa za pekee ziende kwa Mungu wetu, jina lake lihimidiwe,.... Am really happy for this
Hongera sana, am happy for youJamani nashukuru Mungu pamoja na hofu ya kuogofya niliyokuwa nayo, nimepata email ya kuitwa kazini, sifa za pekee ziende kwa Mungu wetu, jina lake lihimidiwe,.... Am really happy for this
Kada gani
Hongera sana mkuu. Ukawe mtumishi mwema.Jamani nashukuru Mungu pamoja na hofu ya kuogofya niliyokuwa nayo, nimepata email ya kuitwa kazini, sifa za pekee ziende kwa Mungu wetu, jina lake lihimidiwe,.... Am really happy for this
Thanks a lot chiefHongera sana mkuu. Ukawe mtumishi mwema.
Mwanangu hii umekula.Custom officer II
Mwanangu hii umekula.
Sasa ni kuomba sanaa wakupangie kwenye BODA na hasa boda kubwa kama Tunduma ili ule mema ya nchi.
Usiende kuwakazia wafanyabiashara wa magendo.
Ukiwa mkaksi ni mawili WAKIROGE au KUKUA..!!!
Hii nchi ya wote KALEGEZA.
#YNWA
#YANGA_BINGWA