Operation Kata Funua: Lowassa asilete pua yake Simiyu

Operation Kata Funua: Lowassa asilete pua yake Simiyu

Hawa jamaa kwa kubuni nawakubali sana wakati mnajadili maneno kata funua kuwa ya kihuni ndivyo mnavyoipa operesheni promo!na kundi linalopenda misemo hiyo wengi vijana!ha ha ha ha
 
kutoka movement for change hadi ukuta sasa ni kata funua kweli namba zimeeleweka na zimesomeka kwa ufasaha kabisa.....
 
Jina tu lenyewe linashiria uvunjifu wa amani. Nani huyo akatwe na nani afunuliwe? Hata kama uhamasishaji huo wa kukatana (mapanga) na kufumua watu utafanyika kwa mikutano ya ndani, hakika hautaruhusiwa na utakumbana na nguvu ya dola.

Mbowe siasa zake ni za choko choko tu. Zamu hii ndiyo mwisho wake. Upinzani maana yake si kufanya choko choko na kuvuruga amani. Sidhani kama Lowasa angekuwa rais angeruhusu kufanyiwa upuuzi huu na ccm. Ajiandae kwenda kujiunga na Lema huko gerezani. Watu wamechoka.
Nataka operation moja ifanyike nchi nzima baada ya 5 January 2017 ili Magufuli at ambu kuwa hii ni nchi sio ya kikundi cha mafisadi na ccm
 
Back
Top Bottom