Simba mundu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 1,201
- 1,444
Mikwara kibaooo then its an empty vasselsHaya mambo yamekuzidi ukub huwezi kuelewa haraka.
Mikwara kibaooo then its an empty vasselsHaya mambo yamekuzidi ukub huwezi kuelewa haraka.
Waziri wetu wa ulinzi ka-improve
Yeah, mfumo unaonekana kutetereka siku hizi.Nna mashaka na huu mgumu wa usalama wa vijana wa kijan ,nahis umekaa Uchawa na kutengeneza picha ya kugofya Kwa mkuu ili wateke nafs yake ili ahisi Kuna hatar kubwa mbele yake na Vijana waonekane wanapiga kazi ili waongezewe size ya ugali wao na kujaziwa nyama kwenye bakul zao
na nani ?oktoba tunatiki
Mko uchi 😂😂oktoba tunatiki
Unatiki nini jinga lao?oktoba tunatiki