Operation DUSTCOVER: Mawimbi Yame-Intercept Kabla ya Code Kuingizwa kwenye Server

Operation DUSTCOVER: Mawimbi Yame-Intercept Kabla ya Code Kuingizwa kwenye Server

mimi nilivyoielewa nu kuwa
Kuna kikundi cha watu waliokuwa wakitekeleza mpango wa siri wa kuvuruga au kuleta mtafaruku nchini (huenda kisiasa, kiusalama, au kiitikadi).
Watu hawa wanajifanya watu wa kiroho, wahubiri au viongozi wa jamii, lakini kwa ndani ni mawakala wa ajenda ya kigeni au isiyo rasmi.
Walitumia lugha ya dini au maono ya kiroho kuficha mawasiliano yao ya siri (intel drops).
Mpango wao uliitwa "Dark Days na ulikuwa na lengo la kudestabilize taifa au sehemu ya mfumo rasmi
Licha ya juhudi zao, mtu waliyemlenga (likely a leader or high-value individual) alijikinga kwa wakati kabla ya mtego kutimia.
Serikali au mfumo wa ulinzi wa taifa umeshatambua wahusika, hata wale waliokuwa wakijificha kwenye majina ya mitandaoni.
Taarifa zao zimewekwa kwenye mfumo wa utambuzi wa sura na uangalizi wa wazi [face recognition na live monitoring].
Sasa taifa limeanza hatua ya pili ya operesheni, yaani:
Kuzuia propaganda,
Kufuta ushahidi na metadata ya njama,
Kufunga njia za kupenya kwenye maeneo nyeti ("red zone").
Huu ni ujumbe wa onyo unaosema kuwa kuna kikundi kilichojificha ndani ya jamii, wakitumia taswira ya uongozi wa kiroho, lakini kwa kweli wakitekeleza ajenda ya kuvuruga taifa. Mpango wao umevunjwa, wahusika wametambuliwa, na sasa hatua za kuzuia na kusafisha athari zao zinaendelea.
Mtafaruku gani acheni mambo ya ajabu tendeni HAKI.
Watu wana Demand haki na Usawa.
 
mimi nilivyoielewa nu kuwa
Kuna kikundi cha watu waliokuwa wakitekeleza mpango wa siri wa kuvuruga au kuleta mtafaruku nchini (huenda kisiasa, kiusalama, au kiitikadi).
Watu hawa wanajifanya watu wa kiroho, wahubiri au viongozi wa jamii, lakini kwa ndani ni mawakala wa ajenda ya kigeni au isiyo rasmi.
Walitumia lugha ya dini au maono ya kiroho kuficha mawasiliano yao ya siri (intel drops).
Mpango wao uliitwa "Dark Days na ulikuwa na lengo la kudestabilize taifa au sehemu ya mfumo rasmi
Licha ya juhudi zao, mtu waliyemlenga (likely a leader or high-value individual) alijikinga kwa wakati kabla ya mtego kutimia.
Serikali au mfumo wa ulinzi wa taifa umeshatambua wahusika, hata wale waliokuwa wakijificha kwenye majina ya mitandaoni.
Taarifa zao zimewekwa kwenye mfumo wa utambuzi wa sura na uangalizi wa wazi [face recognition na live monitoring].
Sasa taifa limeanza hatua ya pili ya operesheni, yaani:
Kuzuia propaganda,
Kufuta ushahidi na metadata ya njama,
Kufunga njia za kupenya kwenye maeneo nyeti ("red zone").
Huu ni ujumbe wa onyo unaosema kuwa kuna kikundi kilichojificha ndani ya jamii, wakitumia taswira ya uongozi wa kiroho, lakini kwa kweli wakitekeleza ajenda ya kuvuruga taifa. Mpango wao umevunjwa, wahusika wametambuliwa, na sasa hatua za kuzuia na kusafisha athari zao zinaendelea.
Sasa jambo kama hili nalo ni lakuzunguka mbuyu?
Huoni hapo mpaka mlevi wa chimpumu amekuelewa.
 
Kuna muda nacheka sana coz tunajikuta smart sana kuliko mabeberu mwisho wa siku tunaishia kuumbuka,how come mtu unajikuta jeuri sijui TISS et al wakati 80% kuanzia dhana,ujuz,fedha unamtegemea beberu

Kwa kifupi sisi bado sana mpaka tutakapokuwa huru kiuchumi na kuwa na elimu thabiti na bajeti toshelevu kwenye R&D,otherwise wanachotaka wao lazima kiende kwa mpango wao refer to JPM case study.
 
mbona una ni attack kama ndo nimesema mimi nilikuwa najaribu kufafanua kwa aliyesema kuwa code ngumu nikasema mimi nilichokielewa ni hicho kulingana na mwandishi
Ukweli ni kama kisiki, akijaribu kuupiga teke utamvunja dole gumba.
 
Katika mazingira ya Tanzania ya sasa, wapo watu wanaotumia jukwaa la dini kuendesha siasa za kivuli, kwa nia ya kupunguza uhalali wa mamlaka ya nchi. Mfumo wa usalama umeshatambua njia hizi — hata pale zinapokuja kwa sura ya uongozi wa kiroho.
Mkuu jikite kwenye maswala mtambuka yanayoikumba Taifa na usalama wake achana na udini hautakusaidia.
 
Back
Top Bottom