Wakuu,
Amani iwe pamoja nanyi, leo kutakuwa na mkutano mkubwa wa hadhara utakaofanyika katika viwanja vya samunge Kilombero, utakaohudhuriwa na makamanda kibao wakiongozwa na Mbunge wa Arusha mjini kamanda Godbless Lema, pamoja na makamanda Lissu, Sugu, Machali, Kiwelu na viongozi wa kanda na jimbo la Arusha mjini.
Ni mkutano wa aina yake kwakuwa Arusha tulidhamiria, na tumeweza kuifuta ccm maeneo yote, operesheni hii inaendeleza kile ambacho tumekifanya na tunaendelea kukifanya ya DELETE FUTA KABISA CCM ARUSHA!
Ulinzi umeimarishwa, RB wetu wenye uzoefu wa hali ya juu wataendelea kutupa huduma ya usalama.
Tutatupia kila kila kitakachokuwa kikijiri
UPDATES:
tunazunguka nchi nzima lazma tuwafuta na KUWADELETE hawa wakoloni weusi ccmOperation delete ccm Arusha mkikamilisha tunaomba muhamie Mbeya. Huku nako tunataka kumalizia kuviondoa kabisa vigamba vidogo vidogo vilivyosalia.
Umeandika?Maskini wee! Ona watu walivyokaa kwa matumaiiiiini, wakiamini eti Mbowe na Lema watawapa maisha bora! Wangejua wanatumiwa kama mtaji, wala wasingechomeka na jua kiasi hichi maskini! Mbowe,Slaa,Lema na wenzao ni malaghai wa siasa, wanaishi kwa kufuata upepo!
kijana usijichoshe, watu wameshachoka kusikia usanii wa CCM. Habari ndiyo hiyo!! Hutaki ingia msituni kama jamaa yako wa TOT.Maskini wee! Ona watu walivyokaa kwa matumaiiiiini, wakiamini eti Mbowe na Lema watawapa maisha bora! Wangejua wanatumiwa kama mtaji, wala wasingechomeka na jua kiasi hichi maskini! Mbowe,Slaa,Lema na wenzao ni malaghai wa siasa, wanaishi kwa kufuata upepo!
Maskini wee! Ona watu walivyokaa kwa matumaiiiiini, wakiamini eti Mbowe na Lema watawapa maisha bora! Wangejua wanatumiwa kama mtaji, wala wasingechomeka na jua kiasi hichi maskini! Mbowe,Slaa,Lema na wenzao ni malaghai wa siasa, wanaishi kwa kufuata upepo!
Huu ni ubishi wa CCM tu, tunawashauri kila siku wajikite walau kwenye mikoa ya Dodoma, Singida na Tabora - huko kwingineko wamesha-deletewa longi, wamegoma!! sasa watu kama hawa unawasaidia ki vipi sasa?.
Pamoja sana makamanda!! Hapa ni kuwa-delete na kuwatoa kwenye Recycle Bin.
Maskini wee! Ona watu walivyokaa kwa matumaiiiiini, wakiamini eti Mbowe na Lema watawapa maisha bora! Wangejua wanatumiwa kama mtaji, wala wasingechomeka na jua kiasi hichi maskini! Mbowe,Slaa,Lema na wenzao ni malaghai wa siasa, wanaishi kwa kufuata upepo!
Wakuu,
Amani iwe pamoja nanyi, leo kutakuwa na mkutano mkubwa wa hadhara utakaofanyika katika viwanja vya samunge Kilombero, utakaohudhuriwa na makamanda kibao wakiongozwa na Mbunge wa Arusha mjini kamanda Godbless Lema, pamoja na makamanda Lissu, Sugu, Machali, Kiwelu na viongozi wa kanda na jimbo la Arusha mjini.
Ni mkutano wa aina yake kwakuwa Arusha tulidhamiria, na tumeweza kuifuta ccm maeneo yote, operesheni hii inaendeleza kile ambacho tumekifanya na tunaendelea kukifanya ya DELETE FUTA KABISA CCM ARUSHA!
Ulinzi umeimarishwa, RB wetu wenye uzoefu wa hali ya juu wataendelea kutupa huduma ya usalama.
Tutatupia kila kila kitakachokuwa kikijiri
UPDATES:
kwa gongo za babu Tedo?
Huna akili kabisa