Opera Heist: Uhalifu Uliokamilika

Opera Heist: Uhalifu Uliokamilika

I understand, too bad that we know nothing.

Nimesogeza ratiba ya kwenda kule, itakuwa October. I think nitafika nyumbani kujua nini shida.

BTW, I'm coming back this September, remember we have unfinished business.
Ooow! I can't wait to see you.
Ukifika nyumbani utanisaidia na Mimi kujua hali yake maana Nina hofu kweli.
 
Hawakupata kipingamizi cha taswira yake mkuu... Issue ni kuwa hafahamiki na hata anakotokea si kweli ndiko yaliko makazi yake.
Hii kazi wangepewa Scotland Yard,Mosad na Wenginge level hizi labda tungepewa taarifa ya kueleweka hawa waindi zao Dawa tu..
 
Aisee bonge ka stori.. huyu jamaa alikuwa na akili sana... tafadhali usisahau kunitag kwa stori nyingine.. asante..
 
Jamaa cha kwanza kilichombeba ni kuwa smati kimuonekano na.kuwa na pesa ndio maana alifanikisha dili lake
 
Kwa kipindi hicho ilikuwa wizi wa akili Sana,lakin leo hata kabla hujamaliza huo ukaguzi wako umeshatiwa nguvuni walahi!!
 
Back
Top Bottom