Uo wizi nmeupenda sanaVyote mkuu asilia plus madesa kidogo
Naingoja kwa shauku mkuu![]()
Kuna mwingine unakuja huo ni BAB KUBWA
mpaka sasa nalisubiri, ucsahau kunitag tu... Iliyopita shukrani sana nmeupata muendelezo.Hahhahaha jiandae kesho Eid nitavurumisha birihani jingine
Haswaaa... Ona jamaa anakaa 5 star hotel kwa siku tano, analipia tangazo, analipia ukumbi sku mbili, analipia bus na anawapa vijana michuzi ya nauli.... Bado yeye kuonekana smart kama kitengo ili usishtukiwe
And so??Unapoamua kuandika story humu....andika umalize....wengine tushaenda huko google kuimaliziaNa nina uhakika huna muendelezo
Baba swalehe unataka uwe mkubwa zaidi uwende wapi??? Si tayar ushakua na mtoto unaeNikiwa mkubwa nataka niwe kama singh mazee![]()
Hpana nkiwa mkubwa we elewa hivyo tuBaba swalehe unataka uwe mkubwa zaidi uwende wapi??? Si tayar ushakua na mtoto unae