Opera Heist: Uhalifu Uliokamilika

Opera Heist: Uhalifu Uliokamilika

mkuu nilichojifunza kwa wezi wakubwa ni kwamba kama huna pesa kamwe huwezi kufanya lolote huku duniani hata wizi hutoweza. pesa ndo kila kitu hata ukiwa mwizi huwezi kukamatwa kabisa.
Haswaaa... Ona jamaa anakaa 5 star hotel kwa siku tano, analipia tangazo, analipia ukumbi sku mbili, analipia bus na anawapa vijana michuzi ya nauli.... Bado yeye kuonekana smart kama kitengo ili usishtukiwe
 
Mkuu inapendeza kutuwekea hitimisho nini umejifunza kupitia hii simulizi hii
Wasomaji mnatakiwa mchambue ni kutoa lesson learnt mkuu... Mimi nafanya marejeo na kuchapa kwenye lugha yetu pendwa tu... Nashukuru kwa mchango huu naamini utafanyiwa kazi.
 
Back
Top Bottom