Invisible
Robot
- Feb 11, 2006
- 9,075
- 7,878
Sikujua kama RA anaweza kuelemewa na ka-website kama tunavyochemkaga hapa JF.mie muda mrefu nimelikosa gazeti la uhuru jamani nielezeni kulikoni?
nimeona leo niseme maana mwananchi silipati na newhabaricop ndo hao kulikoni
lakini uhuru hasa ndio nilipendalo
Mkuu Invisible linafunguka ukishafungua link fungua tabs za magazeti pale juu kuna dimba, mtanzania nk utapata.
Hawa jamaa wanakuwa on&off, ukibahatisha unafungua lakini mara nyingine hawapo hewani.