Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,490
- 11,252
Shalom,
Katika maisha enenda kwa namna njema na ipasayo hasa katika mtazamo wa kibinadamu na katika Mungu, heshimu watu, salimia watu usivimbe na usijione una mpenzi mzuri na uko level za juu.
Kisa kiko hivi nina jirani yangu dogo mmoja hivi ni Mhaya(Ishomile) kama kawaida mimi mama yangu ni Mhaya pia, sasa bahati nzuri huwa namchana mama kuhusu tabia zao mi sio mfuasi wao.
Huyu dogo anaishi na demu wake, yeye alishahitimu chuo hapo mjini ila demu wake anasoma yuko mwaka wa mwisho program fulani yenye usistaduuz sana.
Mara kadhaa nimeona ishara ya demu wa huyu dogo ananipenda sana kiasi kwamba any emergency nikimuona amevaa nguo sio anarudi fasta ndani kwenda kubadilisha, huvaa mavazi mafupi ya kimtego sana nisipokuwepo au nikiwa ndani.
Awali nilidhani ni heshima tu ambayo haina connection na hisia za mapenzi.
Huyu dogo mwenye demu ni mtu wa kuvimba sana, na anaongea sana kuwa akipiga demu hachomoi na anapiga mademu wakali as per stories japo hao mademu siwaoni mostly anajikweza tu.
Sasa bhana jana dogo kayatimba misifa mingi sana kwenye bar fulani hapa hapa Jiji la shughuli na mamboz.
Ninavyoandika hapa naenda kupata supu na mtori naenda kula sambusa ya demu wa huyu dogo na mrejesho ntawapa maana huyu demu hata yeye amekiri amesubiria sana hii fursa ifike.
Kuwa mstaraabu na gentleman kunaepusha mengi ila ukivimba sana watu wanaruka ulipo tupo ulipo wapo, kama unaweza basi tambua wapo wanaoweza zaidi.
Life to infinity that's it.
Wadiz
Katika maisha enenda kwa namna njema na ipasayo hasa katika mtazamo wa kibinadamu na katika Mungu, heshimu watu, salimia watu usivimbe na usijione una mpenzi mzuri na uko level za juu.
Kisa kiko hivi nina jirani yangu dogo mmoja hivi ni Mhaya(Ishomile) kama kawaida mimi mama yangu ni Mhaya pia, sasa bahati nzuri huwa namchana mama kuhusu tabia zao mi sio mfuasi wao.
Huyu dogo anaishi na demu wake, yeye alishahitimu chuo hapo mjini ila demu wake anasoma yuko mwaka wa mwisho program fulani yenye usistaduuz sana.
Mara kadhaa nimeona ishara ya demu wa huyu dogo ananipenda sana kiasi kwamba any emergency nikimuona amevaa nguo sio anarudi fasta ndani kwenda kubadilisha, huvaa mavazi mafupi ya kimtego sana nisipokuwepo au nikiwa ndani.
Awali nilidhani ni heshima tu ambayo haina connection na hisia za mapenzi.
Huyu dogo mwenye demu ni mtu wa kuvimba sana, na anaongea sana kuwa akipiga demu hachomoi na anapiga mademu wakali as per stories japo hao mademu siwaoni mostly anajikweza tu.
Sasa bhana jana dogo kayatimba misifa mingi sana kwenye bar fulani hapa hapa Jiji la shughuli na mamboz.
Ninavyoandika hapa naenda kupata supu na mtori naenda kula sambusa ya demu wa huyu dogo na mrejesho ntawapa maana huyu demu hata yeye amekiri amesubiria sana hii fursa ifike.
Kuwa mstaraabu na gentleman kunaepusha mengi ila ukivimba sana watu wanaruka ulipo tupo ulipo wapo, kama unaweza basi tambua wapo wanaoweza zaidi.
Life to infinity that's it.
Wadiz