Yofav
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 3,983
- 6,971
Habari za muda huu ndugu, jamaa na marafiki zangu wa JF,
Leo nitakwenda fastafasta maana hamnilipi, ambae atanielewa sawa ambae atapuuza sawa pia;
Kwanza cha kwanza kwa utafiti nilioufanya kwa hizi siku kadhaa nilipokuwa kimya nimegundua kuwa kumbe wanawake wa sasa wanaingia kwenye ndoa kwa lengo la kutimiza mahitaji yao tu, Hitaji lao kuu likiwa ni kujiingizia kipato kutoka kwa ATM MACHINE ya mwanaume, nakuambia hivi mapema ili ujipange kuwa utakapoamua kuoa basi uhakikishe una hela za kutosha na haziishi, Sasa wewe jifanye unaoa ili kutimiza agano uone kama Ujaishia kufa au kwenda Jela kwa kesi ya mauaji.
Unapoamua kuoa ujiandae kuwa mpole, Kuwa mpole ni kuhakikisha hufuatilii mkeo anafanya nini (hii inahusisha sana masuala ya mawasiliano na simu) Wanasema ukichunguza bata hutomla, kufuatilia simu yake ni kifo kumaanisha Utaua au utakufa wewe kwa mawazo ama Presha. Hapa watatokea wengine "Oooh me Simu ya mwanamke sifuatiliii achepuke asichepuke atajua yeye" Bro, usiseme hivyo ngoja nikuulize swali, sawa humfuatilii je, kwa mfano wewe umejitunza vizuri then siku moja unagundua imeathirika Yaani una Ukimwi je, unasema hutoua? Kiufupi ni kwamba kuamua kuingia kwenye ndoa ni kujitoa muhanga.
Embu jiulize Mkeo ikitokea akatongozwa na mtu kama Diamond Platinumz je, atachomoa? Ni mfano wa kipuuzi ila kama una ufahamu mkubwa utagundua kuwa wanawake wa sasa wapo kimaslahi zaidi Yaani hamna upendo wa kweli kabisa, sasa kama ni hivyo Unaingia kwenye ndoa ya nini?
Unatafuta pesa kwa hali na mali unapata, Unaamua kuingia kwenye ndoa, siku mnagombana mnataka kuachana anataka mgawane Mali, Alafu mahakama inaweka uzito kwake unakubali Mali inapigwa mgao na pimbi ambae hajakusaidia kuzitafuta, Sasa Kwa Hali hio naanzaje kuingia kwenye ndoa?
Leo kuna wamama watu wazima wapo kwenye ndoa zao nimewasikia wanajadiliana jinsi ya kuhakikisha ATM zao zinajaa pesa Kutoka ATM ya Wanaume zao, Alafu sijui kwanini wanapenda kutumia Jina "Mbwa" kuwakilisha Wanaume zao?
Juzi nilihudhiria harusi ya jirani yangu wakati wanaapa pale mbele kuishi pamoja kwenye shida na raha. Kicheko kikaniponyoka nikajikuta nacheka kwa nguvu Watu wakanigeukia nikazuga na chafya,
Mwisho ni kwamba ewe kijana mwenye mpango wa kuingia kwenye ndoa embu jaribu kwanza kubana pumzi bila kupumua kwa dk 2, Ukiweza kuvumilia zikafika dk mbili basi uvumilivu unao mkuu, nenda kafunge ndoa.
Leo nitakwenda fastafasta maana hamnilipi, ambae atanielewa sawa ambae atapuuza sawa pia;
Kwanza cha kwanza kwa utafiti nilioufanya kwa hizi siku kadhaa nilipokuwa kimya nimegundua kuwa kumbe wanawake wa sasa wanaingia kwenye ndoa kwa lengo la kutimiza mahitaji yao tu, Hitaji lao kuu likiwa ni kujiingizia kipato kutoka kwa ATM MACHINE ya mwanaume, nakuambia hivi mapema ili ujipange kuwa utakapoamua kuoa basi uhakikishe una hela za kutosha na haziishi, Sasa wewe jifanye unaoa ili kutimiza agano uone kama Ujaishia kufa au kwenda Jela kwa kesi ya mauaji.
Unapoamua kuoa ujiandae kuwa mpole, Kuwa mpole ni kuhakikisha hufuatilii mkeo anafanya nini (hii inahusisha sana masuala ya mawasiliano na simu) Wanasema ukichunguza bata hutomla, kufuatilia simu yake ni kifo kumaanisha Utaua au utakufa wewe kwa mawazo ama Presha. Hapa watatokea wengine "Oooh me Simu ya mwanamke sifuatiliii achepuke asichepuke atajua yeye" Bro, usiseme hivyo ngoja nikuulize swali, sawa humfuatilii je, kwa mfano wewe umejitunza vizuri then siku moja unagundua imeathirika Yaani una Ukimwi je, unasema hutoua? Kiufupi ni kwamba kuamua kuingia kwenye ndoa ni kujitoa muhanga.
Embu jiulize Mkeo ikitokea akatongozwa na mtu kama Diamond Platinumz je, atachomoa? Ni mfano wa kipuuzi ila kama una ufahamu mkubwa utagundua kuwa wanawake wa sasa wapo kimaslahi zaidi Yaani hamna upendo wa kweli kabisa, sasa kama ni hivyo Unaingia kwenye ndoa ya nini?
Unatafuta pesa kwa hali na mali unapata, Unaamua kuingia kwenye ndoa, siku mnagombana mnataka kuachana anataka mgawane Mali, Alafu mahakama inaweka uzito kwake unakubali Mali inapigwa mgao na pimbi ambae hajakusaidia kuzitafuta, Sasa Kwa Hali hio naanzaje kuingia kwenye ndoa?
Leo kuna wamama watu wazima wapo kwenye ndoa zao nimewasikia wanajadiliana jinsi ya kuhakikisha ATM zao zinajaa pesa Kutoka ATM ya Wanaume zao, Alafu sijui kwanini wanapenda kutumia Jina "Mbwa" kuwakilisha Wanaume zao?
Juzi nilihudhiria harusi ya jirani yangu wakati wanaapa pale mbele kuishi pamoja kwenye shida na raha. Kicheko kikaniponyoka nikajikuta nacheka kwa nguvu Watu wakanigeukia nikazuga na chafya,
Mwisho ni kwamba ewe kijana mwenye mpango wa kuingia kwenye ndoa embu jaribu kwanza kubana pumzi bila kupumua kwa dk 2, Ukiweza kuvumilia zikafika dk mbili basi uvumilivu unao mkuu, nenda kafunge ndoa.