Ontario(SirJeff): Tanzania's youngest tycoon

Ontario(SirJeff): Tanzania's youngest tycoon

Ni kwel mkuu jamaa ni Mkulima mzuri na mjasiriamali mzuri na ametengeneza ya ajira za watu wengi kidogo ingawa hajataja idadi kasema tu wakati wa mavuno anaajiri wa tz zaid ya 100 wakat yeye akiwa na umri mdogo lakini bado hajafikia hatua ya kuutwa tycoon,,maana ya tycoon ni kuwa powerfull in that specific business or in that industry and should be wealth na ambapo kijana huyu bado hajafikia kwenye ngazi hyo ila hajitaid anaweza akafika huko ila kumuita tycoon mtampoteza kijana huyu atajiona amefika kumbe bado

Hongera kijana Ontario kwa kupambana na maisha, ila nimkumbushe mtoa mada asome vizuri na ajiridhishe sifa ya mtu kufikia kiwango cha kuitwa Tycoon, ki uchumi...kama ataona amekosea basi abadili kichwa cha habari km ataona yuko sahii basi kiache kama kilivyo wasomi watakung'amua[/QUOTE
 
Imekuuma sana mkuu?
images


BLOGS.jpg


https://www.howwemadeitinafrica.com...ultry-business-in-the-slums-of-dar-es-salaam/
Na yeye mwenyew ameeleza kuwa hayupo kibiashara zaid ila yupo kihuduma zaidi,,,kwahyo mkuu umedanganya umma
 

Attachments

Ni kwel mkuu jamaa ni Mkulima mzuri na mjasiriamali mzuri na ametengeneza ya ajira za watu wengi kidogo ingawa hajataja idadi kasema tu wakati wa mavuno anaajiri wa tz zaid ya 100 wakat yeye akiwa na umri mdogo lakini bado hajafikia hatua ya kuutwa tycoon,,maana ya tycoon ni kuwa powerfull in that specific business or in that industry and should be wealth na ambapo kijana huyu bado hajafikia kwenye ngazi hyo ila hajitaid anaweza akafika huko ila kumuita tycoon mtampoteza kijana huyu atajiona amefika kumbe bado
Kikwete ana u Dr. Wa kupewa na wachina kwa utendaji kazi wake uliotukuka,

Siyo mbaya na huyu Ontario tukampa jina la Tycool kwa uwekezaji wake ulio tukuka angali bado akiwa kijana mbichi.... Hilo jina la heshima kijana usiumie saaaaaaaaana..... Utakufa kwa presure
 
Kikwete ana u Dr. Wa kupewa na wachina kwa utendaji kazi wake uliotukuka,

Siyo mbaya na huyu Ontario tukampa jina la Tycool kwa uwekezaji wake ulio tukuka angali bado akiwa kijana mbichi.... Hilo jina la heshima kijana usiumie saaaaaaaaana..... Utakufa kwa presure
Hapana mkuu mi sijaumia hata, coz i have no any effect upon him either niumie or not lakini kwenye ukwel tutasema ukwel,,,lakini ninaimani umekubaliana na mimi ingawa umejibu kisiasa
 
MJINI SHULE, UNAKUSANYA HELA ZA SEMINA YA KAMARI HALAFU UNAINVEST KWENYE TRUE PROJECTS
Hilo la kukusanya za forex ameanza mwaka huu ila Jamaa Ni mkulima Na mfugaji mzuri tu!
Inaonekana umeumia kweli
Pole......
 
Back
Top Bottom