Ontario(SirJeff): Tanzania's youngest tycoon

Ontario(SirJeff): Tanzania's youngest tycoon

Weka hapa hata moja tuamini...
Ukiweka nakunya hapa Kariakoo sokoni asubuhi hii ya saa 08:00
Kwani cha ajabu nini..?? Mbn umecomment kma hizo picha ni za ajabu sana mkuu..?? Au AY na Makonda ni sooo special..?? Je angepiga na Trump..?? Acha ushamba kaka..!!
 
Jaman mnieleweshe vizur maana picha kama hizo hata mimi nimepiga sana na viongoz,kwenye ndege na hata kwenye mahotel
Ni zaidi ya kupiga picha na viongozi...
38666924_304.jpg


beng170613_018_aomtzmaltrin_01g.jpg
 
Kwani cha ajabu nini..?? Mbn umecomment kma hizo picha ni za ajabu sana mkuu..?? Au AY na Makonda ni sooo special..?? Je angepiga na Trump..?? Acha ushamba kaka..!!


Cha ajabu ni kuwa wewe na huyo mumeo hapo juu hamna picha kama hizo. Period.
 
Hongera kijana Ontario kwa kupambana na maisha, ila nimkumbushe mtoa mada asome vizuri na ajiridhishe sifa ya mtu kufikia kiwango cha kuitwa Tycoon, ki uchumi...kama ataona amekosea basi abadili kichwa cha habari km ataona yuko sahii basi kiache kama kilivyo wasomi watakung'amua
 
Awashukuru creaton na ria wanaomfundisha.hao jamaa ni wanajua
 
Wengine huyo mtu hatumjui tunaomba msaada wa maelezo yake kidogo,investment zake, na shughuli zake nyingne
Nendaa ka Google Sirjeff dennis utaona balaa lake na matusi yake afu jaribu kujicompare na ww wakati una miaka 23 ulikuwa v kama yeye. ??
 
Back
Top Bottom