Ontario(SirJeff): Tanzania's youngest tycoon

Ontario(SirJeff): Tanzania's youngest tycoon

nashukuru saana kwa wooote munaonitia mia na munaonivunja moyo pia... jumla yenu ndio napata hasira za kutafuta zaid... time ll tell...


tuko pamoja.
 
Alisema kwasasa yupo single, na mademu wampite mbali, Yuko busy kusaka noti .
haaa tunaanzaje kumpita mbali lol..
sirjeff_dennis-20171126-0001.jpg
 
MJINI SHULE, UNAKUSANYA HELA ZA SEMINA YA KAMARI HALAFU UNAINVEST KWENYE TRUE PROJECTS
Hilo la kukusanya za forex ameanza mwaka huu ila Jamaa Ni mkulima Na mfugaji mzuri tu!
Inaonekana umeumia kweli
emoji23.png
emoji23.png

Pole.......

Kwa hiyo ni kweli jamaa anakusanya fedha za kamari
 
Nimepitia huu uzi nmecheka sn...watu wana maneno sana
 
Back
Top Bottom