Only in Tanzania !

Nchi yenye chama kinaitwa chama cha mapinduzi, bila kufafanua ni mapinduzi yapi kilifanya au yalifanyika!
 
"ONLY IN TANZANIA!

Yapo Maajabu mengi sana...Ila Maajabu Makuu Yaliyo Tanzania ni Haya


1. Mmoja wa Majaji Walioteuliwa kwa Mujibu wa Tundu Lissu Kumbe ndo
kwanza anasoma shahada so darasani nae anasoma"What is Law of Torts"
then anapata SUP...U can Only find in TZ....afu mwalimu wake ni
advocate inakuwaje akimpelekea kesi Jaji wa aina hiyo??

2. Serikali Makini ambayo sio dhaifu ina Watumishi Hewa 9,949
wanaopata Mshahara ambao Jumla ya hela inayopotea ni kama Bil 70
ambazo zingetumika kulipa Madaktari na walimu, lakini Serikali
inasema haina hela, hawana hela ya kulipa walimu na Madaktari ila
wanazo za Watumishi hewa...Only u can find in TZ.

3. Serikali Ya Uingereza Ilirudisha Chenji ya RADA, Serikali ikasema
hela inapeleka Kununulia Vitabu kwa Ajili ya Shule Nchi nzima, Kumbe
Kampuni iliyopewa tenda ya Kusambaza Vitabu nchi nzima ilitoa rushwa
ya US$ 500,000 kupata tender Serikali ya Uingereza imeifungia miaka
7, You Can Only find in TZ.

4. Wanafunzi Waliofaulu Darasa la Saba get me well waliofaulu darasa
la 7 kwenda Sekondary Hawajui Kusoma wala Kuandika, Je waliofeli
Watakuwa hawajui kufanya nini??...You Can Only Find In Tanzania

5. Washiriki wa Michezo ya Kimataifa (sijataja Mchezo wala
mashindano) wako watano (5) lakini wanaowasindikiza Washiriki wako 12
You can Only find in Tanzania......

6. Sehemu Pekee ambaye Mtu uliyetaka Kumdhuru kwa Kukusumbua then
unaomba Umlinde (refer to Dr. Ulimboka's Case)..Yaani Mbwa Mwitu
anaomba kazi ya Kulinda Mbuzi......You Can Only find in Tanzania..

7.Only in Tanzania serekali inaweza kabisa kulipisha watu ushuru wa sticker ya fire
Bila kuuliza kama una huo mtungi wa kuzimia moto wala kukagua gari wala kukupa hiyo sticker
Na wananchi wake wakakubali na kunyamaza tu.

8. Only in Tanzania hata rais hajui ni kwanini raia wake ni masikini?


Yapo Maajabu Mengi sana Lipi nimesahau???" Ongezea Moyoni"


(source kada mmoja wa CCM)
 
"ONLY IN TANZANIA!

Yapo Maajabu mengi sana...Ila Maajabu Makuu Yaliyo Tanzania ni Haya


1. Mmoja wa Majaji Walioteuliwa kwa Mujibu wa Tundu Lissu Kumbe ndo
kwanza anasoma shahada so darasani nae anasoma"What is Law of Torts"
then anapata SUP...U can Only find in TZ....afu mwalimu wake ni
advocate inakuwaje akimpelekea kesi Jaji wa aina hiyo??

2. Serikali Makini ambayo sio dhaifu ina Watumishi Hewa 9,949
wanaopata Mshahara ambao Jumla ya hela inayopotea ni kama Bil 70
ambazo zingetumika kulipa Madaktari na walimu, lakini Serikali
inasema haina hela, hawana hela ya kulipa walimu na Madaktari ila
wanazo za Watumishi hewa...Only u can find in TZ.

3. Serikali Ya Uingereza Ilirudisha Chenji ya RADA, Serikali ikasema
hela inapeleka Kununulia Vitabu kwa Ajili ya Shule Nchi nzima, Kumbe
Kampuni iliyopewa tenda ya Kusambaza Vitabu nchi nzima ilitoa rushwa
ya US$ 500,000 kupata tender Serikali ya Uingereza imeifungia miaka
7, You Can Only find in TZ.

4. Wanafunzi Waliofaulu Darasa la Saba get me well waliofaulu darasa
la 7 kwenda Sekondary Hawajui Kusoma wala Kuandika, Je waliofeli
Watakuwa hawajui kufanya nini??...You Can Only Find In Tanzania

5. Washiriki wa Michezo ya Kimataifa (sijataja Mchezo wala
mashindano) wako watano (5) lakini wanaowasindikiza Washiriki wako 12
You can Only find in Tanzania......

6. Sehemu Pekee ambaye Mtu uliyetaka Kumdhuru kwa Kukusumbua then
unaomba Umlinde (refer to Dr. Ulimboka's Case)..Yaani Mbwa Mwitu
anaomba kazi ya Kulinda Mbuzi......You Can Only find in Tanzania..

7.Only in Tanzania serekali inaweza kabisa kulipisha watu ushuru wa sticker ya fire
Bila kuuliza kama una huo mtungi wa kuzimia moto wala kukagua gari wala kukupa hiyo sticker
Na wananchi wake wakakubali na kunyamaza tu.

8. Only in Tanzania hata rais hajui ni kwanini raia wake ni masikini?


Yapo Maajabu Mengi sana Lipi nimesahau???" Ongezea Moyoni"


(source kada mmoja wa CCM)
Ni Tanzania tu wanawake na watoto wanapigwa mabomu ya machozi kwa kuwa wanatembea kwenda kwenye mtutano wa hadhara. It is only in Tanzania mama mjane asiye na kosa anafungwa jela tena bila dhamana na kwa kosa ambalo hajatenda. It is only in Tanzania polisi anachukua hongo na kumwachia mhalifu hapo kwa hapo huku akimchukua raia mwema asiye na kosa na kumfunga badala ya huyo mhalifu. It is only in Tanzania raia anaweza kukimbia dunia nzima likiwemo la kwenda kushangaa mananasi Ghana, nyanya Brazil, bembea, nk. kwa kutumia kodi za wananchi wake. It is only in Tanzania wananchi wanaoenwa kama wanyama na wasichue hatua yeyote.
 


Yapo Maajabu mengi sana...Ila Maajabu Makuu Yaliyo Tanzania ni Haya


1. Mmoja wa Majaji Walioteuliwa kwa Mujibu wa Tundu Lissu Kumbe ndo
kwanza anasoma shahada ya kwanza.


2. Serikali Makini ambayo sio dhaifu ina Watumishi Hewa 9,949
wanaopata Mshahara ambao Jumla ya hela inayopotea ni kama Bil 70
ambazo zingetumika kuboresha maslahi ya watumishi wake, lakini Serikali
inasema haina hela, hawana hela ya kulipa walimu na Madaktari ila
wanazo za Watumishi hewa...Only u can find in TZ.

3. Serikali Ya Uingereza Ilirudisha Chenji ya RADA, Serikali ikasema
hela inapeleka Kununulia Vitabu kwa Ajili ya Shule Nchi nzima, Kumbe
Kampuni iliyopewa tenda ya Kusambaza Vitabu nchi nzima ilitoa rushwa
ya US$ 500,000 kupata tender Serikali ya Uingereza imeifungia miaka 7,
You Can Only find in TZ.

4. Wanafunzi Waliofaulu Darasa la Saba get me well waliofaulu darasa
la 7 kwenda Sekondary Hawajui Kusoma wala Kuandika, Je waliofeli
Watakuwa hawajui kufanya nini??...You Can Only Find In Tanzania

5. Washiriki wa Michezo ya Kimataifa (Olympic-London) wako watano (5) lakini wanaowasindikiza Washiriki wako 12
You can Only find in Tanzania......

6. Sehemu Pekee ambaye Mtu uliyetaka Kumdhuru kwa Kukusumbua then
unaomba Umlinde (refer to Dr. Ulimboka's Case)..Yaani Mbwa Mwitu
anaomba kazi ya Kulinda Mbuzi......You Can Only find in Tanzania..

7.Only in Tanzania serekali inaweza kabisa kulipisha watu ushuru wa
sticker ya fire Bila kuuliza kama una huo mtungi wa kuzimia moto wala
kukagua gari wala kukupa hiyo sticker na wananchi wake wakakubali na
kunyamaza tu.


Ruksa kuongezea maajabu mengine ............
 
Ajabu lingine! Ni pale tunapoamriwa kinguvu, pesa zetu kuchukuliwa na serikali thru nssf, na kuamriwa kuzichukua ufikapo miaka 55/60 hapa tanzania, nchi hii ikiwa ni ya tatu kutoka mkiani kwa umasikini!, ajabu hili unalipata only in tanzania among other developing countries.
 


Yapo Maajabu mengi sana...Ila Maajabu Makuu Yaliyo Tanzania ni Haya


1. Mmoja wa Majaji Walioteuliwa kwa Mujibu wa Tundu Lissu Kumbe ndo
kwanza anasoma shahada ya kwanza.


2. Serikali Makini ambayo sio dhaifu ina Watumishi Hewa 9,949
wanaopata Mshahara ambao Jumla ya hela inayopotea ni kama Bil 70
ambazo zingetumika kuboresha maslahi ya watumishi wake, lakini Serikali
inasema haina hela, hawana hela ya kulipa walimu na Madaktari ila
wanazo za Watumishi hewa...Only u can find in TZ.

3. Serikali Ya Uingereza Ilirudisha Chenji ya RADA, Serikali ikasema
hela inapeleka Kununulia Vitabu kwa Ajili ya Shule Nchi nzima, Kumbe
Kampuni iliyopewa tenda ya Kusambaza Vitabu nchi nzima ilitoa rushwa
ya US$ 500,000 kupata tender Serikali ya Uingereza imeifungia miaka 7,
You Can Only find in TZ.

4. Wanafunzi Waliofaulu Darasa la Saba get me well waliofaulu darasa
la 7 kwenda Sekondary Hawajui Kusoma wala Kuandika, Je waliofeli
Watakuwa hawajui kufanya nini??...You Can Only Find In Tanzania

5. Washiriki wa Michezo ya Kimataifa (Olympic-London) wako watano (5) lakini wanaowasindikiza Washiriki wako 12
You can Only find in Tanzania......

6. Sehemu Pekee ambaye Mtu uliyetaka Kumdhuru kwa Kukusumbua then
unaomba Umlinde (refer to Dr. Ulimboka's Case)..Yaani Mbwa Mwitu
anaomba kazi ya Kulinda Mbuzi......You Can Only find in Tanzania..

7.Only in Tanzania serekali inaweza kabisa kulipisha watu ushuru wa
sticker ya fire Bila kuuliza kama una huo mtungi wa kuzimia moto wala
kukagua gari wala kukupa hiyo sticker na wananchi wake wakakubali na
kunyamaza tu.


Ruksa kuongezea maajabu mengine ............
Maandamano ya CHADEMA!
 
Mkuu unayo yasema ni kweli tupu na yako mengi sana, Sasa basi wakati wa kulialia umekwisha kilicho bakia ni kuchukua hatua tu, kama alivyo sema Kamando Mbowe pale Serena hotel, Watanzania tuache kulialia tuchukue hatu, hatua ni pamoja na kuwabadilisha Ndugu jamaa na marafiki zako waote,

Naamini kila mmoja akianza mikakati ya kubadili kwanza familia yake, then Majirani, then Wafanya kazi/wafanyabiashara wenzake na ndugu jamaa na marafiki tutakuwa tumepiga hatua kubwa sana,
 
Ajabu lingine ni pale baadhi ya watanzania kushabikia Padri Mstaafu mwenye elimu ya Theology(elimu ya kusalisha kanisani) eti awe Rais wa Tanzania
 


Yapo Maajabu mengi sana...Ila Maajabu Makuu Yaliyo Tanzania ni Haya

1. Mmoja wa Majaji Walioteuliwa kwa Mujibu wa Tundu Lissu Kumbe ndo
kwanza anasoma shahada ya kwanza.


2. Serikali Makini ambayo sio dhaifu ina Watumishi Hewa 9,949
wanaopata Mshahara ambao Jumla ya hela inayopotea ni kama Bil 70
ambazo zingetumika kuboresha maslahi ya watumishi wake, lakini Serikali
inasema haina hela, hawana hela ya kulipa walimu na Madaktari ila
wanazo za Watumishi hewa...Only u can find in TZ.

3. Serikali Ya Uingereza Ilirudisha Chenji ya RADA, Serikali ikasema
hela inapeleka Kununulia Vitabu kwa Ajili ya Shule Nchi nzima, Kumbe
Kampuni iliyopewa tenda ya Kusambaza Vitabu nchi nzima ilitoa rushwa
ya US$ 500,000 kupata tender Serikali ya Uingereza imeifungia miaka 7,
You Can Only find in TZ.

4. Wanafunzi Waliofaulu Darasa la Saba get me well waliofaulu darasa
la 7 kwenda Sekondary Hawajui Kusoma wala Kuandika, Je waliofeli
Watakuwa hawajui kufanya nini??...You Can Only Find In Tanzania

5. Washiriki wa Michezo ya Kimataifa (Olympic-London) wako watano (5) lakini wanaowasindikiza Washiriki wako 12
You can Only find in Tanzania......

6. Sehemu Pekee ambaye Mtu uliyetaka Kumdhuru kwa Kukusumbua then
unaomba Umlinde (refer to Dr. Ulimboka's Case)..Yaani Mbwa Mwitu
anaomba kazi ya Kulinda Mbuzi......You Can Only find in Tanzania..

7.Only in Tanzania serekali inaweza kabisa kulipisha watu ushuru wa
sticker ya fire Bila kuuliza kama una huo mtungi wa kuzimia moto wala
kukagua gari wala kukupa hiyo sticker na wananchi wake wakakubali na
kunyamaza tu.


Ruksa kuongezea maajabu mengine ............

1. It is only in TZ Rais anasafiri kupita kiasi
2. It is only in TZ Rais anafunga safari ya kwenda kubembea
3.
It is only in TZ Rais anafunga safari kwenda kuona Kilimo cha tungule (tomato)
4.
It is only in TZ Rais anafunga safari ya kwenda kukagua kilimo cha nanasi .......nk
 
Ajabu lingine ni pale baadhi ya watanzania kushabikia Padri Mstaafu mwenye elimu ya Theology(elimu ya kusalisha kanisani) eti awe Rais wa Tanzania
Naona unaogopa kumtaka bcoz of ur I'D ya Mrengo wa kati,ngoja nikusaidie kumtaja,ni SLAA.
Tena nasikia huyu jamaa akichua basi wimbo wa taifa utabadilishwa na utakua ule unaoitwa(KWETU PAZURI)
 
1. It is only in TZ Rais anasafiri kupita kiasi
2. It is only in TZ Rais anafunga safari ya kwenda kubembea
3.
It is only in TZ Rais anafunga safari kwenda kuona Kilimo cha tungule (tomato)
4.
It is only in TZ Rais anafunga safari ya kwenda kukagua kilimo cha nanasi .......nk
Mbowe anafunga safari to uk kufungua tawi la chama(CDM)
 
Ni nchi pekee ambayo haina wahudumu wa afya wakutosha alafu inawafukuza madactari 300 waliowasomesha kwa kodi za wananchi wakatumikie mataifa mengine bila kujali mamilioni waliyotumia ,na wananchi hawana wahudumu wa afya wakutosha,nakuamua kuajiri freshier from schools
 
Humu kuna thread ya zamani inayofanana content na hii karibu kila kitu..so hukua na haja ya kufungua mpya kutujazia multiple threads with similar content..

Pili,naona mmefurika watu wenye chuki na chadema na ccm naona mapovu yanawatoka mkijaribu ku out-do one another!! Mnalipwa sh ngapi na nape na mnyika? Wenzenu wanapiga hela za nguvu na kutravel ulaya na allowance za kufa mtu nyie mnatoka mapovu hapa kwa sh. Elfu kumi kwa siku,hopeless kabisa,and it is only found in Tanzania!!
 
1.NI NH PEKEE AMBAYO rais wetu amekaa kimya kuhusu yale mabiliono 300 kule uswiss
2.ni nchi pekee ambayo viongozi wa umma wanapurutisha matusi majukwaani
3.ni nchi pekee ambayo inaamini DAes salaam ndio Tanzania vijjini sio tanzania
 


Yapo Maajabu mengi sana...Ila Maajabu Makuu Yaliyo Tanzania ni Haya


1. Mmoja wa Majaji Walioteuliwa kwa Mujibu wa Tundu Lissu Kumbe ndo
kwanza anasoma shahada ya kwanza.


2. Serikali Makini ambayo sio dhaifu ina Watumishi Hewa 9,949
wanaopata Mshahara ambao Jumla ya hela inayopotea ni kama Bil 70
ambazo zingetumika kuboresha maslahi ya watumishi wake, lakini Serikali
inasema haina hela, hawana hela ya kulipa walimu na Madaktari ila
wanazo za Watumishi hewa...Only u can find in TZ.

3. Serikali Ya Uingereza Ilirudisha Chenji ya RADA, Serikali ikasema
hela inapeleka Kununulia Vitabu kwa Ajili ya Shule Nchi nzima, Kumbe
Kampuni iliyopewa tenda ya Kusambaza Vitabu nchi nzima ilitoa rushwa
ya US$ 500,000 kupata tender Serikali ya Uingereza imeifungia miaka 7,
You Can Only find in TZ.

4. Wanafunzi Waliofaulu Darasa la Saba get me well waliofaulu darasa
la 7 kwenda Sekondary Hawajui Kusoma wala Kuandika, Je waliofeli
Watakuwa hawajui kufanya nini??...You Can Only Find In Tanzania

5. Washiriki wa Michezo ya Kimataifa (Olympic-London) wako watano (5) lakini wanaowasindikiza Washiriki wako 12
You can Only find in Tanzania......

6. Sehemu Pekee ambaye Mtu uliyetaka Kumdhuru kwa Kukusumbua then
unaomba Umlinde (refer to Dr. Ulimboka's Case)..Yaani Mbwa Mwitu
anaomba kazi ya Kulinda Mbuzi......You Can Only find in Tanzania..

7.Only in Tanzania serekali inaweza kabisa kulipisha watu ushuru wa
sticker ya fire Bila kuuliza kama una huo mtungi wa kuzimia moto wala
kukagua gari wala kukupa hiyo sticker na wananchi wake wakakubali na
kunyamaza tu.


Ruksa kuongezea maajabu mengine ............

1. Nchi ambayo misiba yote inaratibiwa na Rais!
2. Wanawake walisema waume zao wangelikufa kuliko kufa Kanumba!
 
ni nchi pekee ambayo, inasafirisha wanyama nje halaeu aliyewasafirisha anachekewa.......
ni nchi ambayo, ajali zinaundiwa tume ambazo hazijawahi toa majibu ya uchunguzi hata mara moja....
 


Yapo Maajabu mengi sana...Ila Maajabu Makuu Yaliyo Tanzania ni Haya


1. Mmoja wa Majaji Walioteuliwa kwa Mujibu wa Tundu Lissu Kumbe ndo
kwanza anasoma shahada ya kwanza.


2. Serikali Makini ambayo sio dhaifu ina Watumishi Hewa 9,949
wanaopata Mshahara ambao Jumla ya hela inayopotea ni kama Bil 70
ambazo zingetumika kuboresha maslahi ya watumishi wake, lakini Serikali
inasema haina hela, hawana hela ya kulipa walimu na Madaktari ila
wanazo za Watumishi hewa...Only u can find in TZ.

3. Serikali Ya Uingereza Ilirudisha Chenji ya RADA, Serikali ikasema
hela inapeleka Kununulia Vitabu kwa Ajili ya Shule Nchi nzima, Kumbe
Kampuni iliyopewa tenda ya Kusambaza Vitabu nchi nzima ilitoa rushwa
ya US$ 500,000 kupata tender Serikali ya Uingereza imeifungia miaka 7,
You Can Only find in TZ.

4. Wanafunzi Waliofaulu Darasa la Saba get me well waliofaulu darasa
la 7 kwenda Sekondary Hawajui Kusoma wala Kuandika, Je waliofeli
Watakuwa hawajui kufanya nini??...You Can Only Find In Tanzania

5. Washiriki wa Michezo ya Kimataifa (Olympic-London) wako watano (5) lakini wanaowasindikiza Washiriki wako 12
You can Only find in Tanzania......

6. Sehemu Pekee ambaye Mtu uliyetaka Kumdhuru kwa Kukusumbua then
unaomba Umlinde (refer to Dr. Ulimboka's Case)..Yaani Mbwa Mwitu
anaomba kazi ya Kulinda Mbuzi......You Can Only find in Tanzania..

7.Only in Tanzania serekali inaweza kabisa kulipisha watu ushuru wa
sticker ya fire Bila kuuliza kama una huo mtungi wa kuzimia moto wala
kukagua gari wala kukupa hiyo sticker na wananchi wake wakakubali na
kunyamaza tu.


Ruksa kuongezea maajabu mengine ............

Nchi pekee DUNIANI yenye madaktari wa fasta fasta "Assistant Medical Officer(AMO) na Clinical Officer(C.O)" ambao Waziri wa afya anasema ni bora kuwasomesha kuliko kuwasomesha specialist na Medical Doctors(MD)!
 
Back
Top Bottom