Interested Observer
JF-Expert Member
- Mar 27, 2006
- 2,660
- 3,043
#2. Rada imenunuliwa kutoka BAE, lakini wanatafuta fundi ku-repear rada hiyo kutoka Kenya. Sijui ile Rada ya BAE wameuza wapi!!
kweli only in tz:
1. Kubadilishana vyandarua+walimu 47 kwa dhahabu, almasi, tanzanite na wanyama pori. Only in tz.
2. Kupandisha twiga kwenye ndege,can only be done in Tanzania.
3. Rais, Waziri mkuu, Mwanasheria mkuu, na Waziri wa katiba kupingana hadharani wakati wanakaa meza moja ya baraza la mawaziri. This is definately in Tz n only in Tz...
3. Kuwa na wanachama uchwara wanaoendekeza siasa za majitaka za C C Mabwepande.. Can only b found in Tz.
Raisi Mbovu ambaye katika utawala wake Njaa ilikuwa kaliChombo chenye kuhabarisha ukweli (mwanahalisi) kinafungiwa, ila chombo chochezi gazeti la an-nuur na radio imaan vikiachwa
mmh una macho dah!View attachment 69269
Unakaona ka-STK kwa mbali nyuma ya hiyo plate number ya Waziri?