Huo Analogy aka Bukoba type siku hizi umepungua au ni kama vile unaisha,ni nadra sana kumuona mtu ana 'analogy' ndio maana umeuita hivyo mkuu. Chapisha ubunifu wako,ni wazo zuri tu.
Dalili nyingine za analogy ni:
Nywele kugeuka sufi, rangi ya noti ya 10000 kwenye mdomo, mabega kupanda kama paa la hema,na akijikuna ngoza inatoa unga.