Online status za Whatsapp za wanawake

Online status za Whatsapp za wanawake

Ukiwa na marafiki wa aina hiyo inaonyesha pia wewe ni mtu wa aina gani!
Kwa kifupi hata wewe unafanana nao vinginevyo usingepoteza muda nao!
Soma tena sijazungumzia marafik hapo nimesemea tabia ya watumiaji wa whatsapp especially wanawake kwann waaficha status zao.....ili iwaje, kwann wasiwe honest tu
 
Umeniwahi aisee.
Na hata akificha wewe inakuhisu nini? Unless awe demu wako,wengine muache tu. Maana sikumbusha last seen yangu niliitoa lini
Kwan hoja yangu ipo wapi wadhani, namaanisha mtu anampenzi wake inakuwaje anaweka status ya uongo, nini anajaribu ficha hapo
 
Kwan hoja yangu ipo wapi wadhani, namaanisha mtu anampenzi wake inakuwaje anaweka status ya uongo, nini anajaribu ficha hapo
Speaking about yours,sio mahusiano ya wengine huo ni umbea..
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Speaking about yours,sio mahusiano ya wengine huo ni umbea..
This sounds personal to you.......una hii shida kwani?!


Share nasi tujue huwa ni kichaa gani kinawasumbua hadi mnakuwa na tabia za kiwiziwizi tu
 
This sounds personal to you.......una hii shida kwani?!


Share nasi tujue huwa ni kichaa gani kinawasumbua hadi mnakuwa na tabia za kiwiziwizi tu
Kama mzungu alikosea kuweka hiki basi vichaa,lakini kama aliweka basi purposely basi wewe ndio mshamba.
 
Kama mzungu alikosea kuweka hiki basi vichaa,lakini kama aliweka basi purposely basi wewe ndio mshamba.
Huchelewi kusema bunduki ilitengenezwa kwaajiri ya kuua watu wazuri na wabaya......


Au kusema hata magari yanavyopata ajari ni sehemu ya kazi yake mzungu alitengeneza iwe hivyo.

Hiyo kuhide status unaweza tumia kwa special cases ukisoma hata online utaona maelekezo yake......

Ila unajustfy vipi ati upo kwenye mahusiano unaficha status yako, tafasiri yake ni kwamba kuna watu hutaki wakutafute huku mumeo/mkeo akijua.......maana mnaweza kuwa mpo sehemu moja mfano sebuleni na anakuona kabisa unachat halafu akataka kukutumia kitu anashangaa upo offline.....unadhani atajisikiaje kama sio kuhisi kuna mtu unamficha huko nje......

Sio tabia nzuri kwakweli
 
Ndio maana bwana yule kawaibia trillion 1.5 sababu anajua kabisa hawa wajinga hakuna cha maana wanachowaza zaidi ya kufuatilia upuuzi kamaa huu wa status za kwenye watsapp kwa watu wasiokuhusu.

Na tena kama mkiendelea kuwa na akili hizi za kufuatilia upuuzi na kuacha mambo ya msingi next time awaibie bajeti nzima kabisa.
 
Soma tena sijazungumzia marafik hapo nimesemea tabia ya watumiaji wa whatsapp especially wanawake kwann waaficha status zao.....ili iwaje, kwann wasiwe honest tu


Wewe umejuaje kama wanaficha kama haufwatilii?
 
Ndio maana bwana yule kawaibia trillion 1.5 sababu anajua kabisa hawa wajinga hakuna cha maana wanachowaza zaidi ya kufuatilia upuuzi kamaa huu wa status za kwenye watsapp kwa watu wasiokuhusu.

Na tena kama mkiendelea kuwa na akili hizi za kufuatilia upuuzi na kuacha mambo ya msingi next time awaibie bajeti nzima kabisa.
Kumradhi naona akili yako imebebelea mawazo ya hasira badala ya uelewa.

Nimemaanisha mwanamke ambaye upo nae katika mahusiano ya kweli, na si mwanamke yoyote yule......maana kama mwanamke mwingine kaweka mimi inanihusu nini, ila yule ambaye nipo nae katika mahusiano akifanya hivyo lazima niweke alama ya mashangao na kiulizo.
 
Wewe umejuaje kama wanaficha kama haufwatilii?
Kwan wewe ukiwa na mpenzi then unatext nae whatsapp utahitaji shilingi ngapi kuiona status yake kila unampomcheki?!
 
Kwan wewe ukiwa na mpenzi then unatext nae whatsapp utahitaji shilingi ngapi kuiona status yake kila unampomcheki?!


Mpenzi wangu hawezi kufanya hivyo, kwa maana ananiamini na mimi namuamini hivyo sijawahi kushuhudia wala kujali kuhusu hilo la status ya whatsapp.
 
Mpenzi wangu hawezi kufanya hivyo, kwa maana ananiamini na mimi namuamini hivyo sijawahi kushuhudia wala kujali kuhusu hilo la status ya whatsapp.
Sasa wewe unaishi kimaigizo, hivi kweli mtu afanye kitu kama hicho then uone ni kawaida kisa umejenga hisia za kujiamini......?!
 
we mleta mada inaonesha kama una mke atakua anapata tabu sana......hv ni jambo la kuhoji hilo kweli??
 
Mkuu si ushasema hayo ni masuala binafsi mbona tena unayaingilia sasa
 
Hata wanaume hii tabia wanayo ila nimeiona kwa matozi hawa marioo hawa ndio wanahiyo shida ila mwanaume anayejitambua kama mimi anaanzaje kuweka hayo makitu......?!

Kama simpendi mwanamke namwambia ajisumbue at her own risk!
Matozi na marioo? Kuna Boss flani pale tumbaku Morogoro ni mtu mzim tu ila hako katabia anafanya, hata siku moja hujui kama yupo online ila ukituma text mnachat vizuri tu.
 
we mleta mada inaonesha kama una mke atakua anapata tabu sana......hv ni jambo la kuhoji hilo kweli??
Sometimes hawa viumbe ni wakuwasaidia namna ya kujua mipaka yao wakiwa katika mahusiano.....sio swala la kikoloni. Ndio maana now days mahusiano hayadumu sababu watu mnachukulia kirahisi sana swala la mipaka......

Mwanamke au mwanaume anafanya hivyo ni veme ukamuhoji, wengine wapo katika mahusiano ila hawajitambui hata kidogo na muda wowote wanaweza bugi na akishakosea ndio akili inakuja, sasa iwaje tuishi kwa kusubiria kukosea then tuvurugane na wakati tulikuwa na nafasi ya kurekebishana mapema?!


Kwanza changamoto kubwa ni kwamba hawa mabinti now days wengi wao hawajapitia hata kidogo elimu ile ya asili (unyago) pengine ingekuwa msaada kwao katika kujenga mahusiano bora , na sio kama hawa wa sasa wanajiendea tu kama tairi linalofuata bonde......

Kipindi kile msichana anafundishwa hata namna ya kubehave, anakatazwa kucheka cheka na kushikana hovyo na wanaume (flirting) ili ajenge muonekano mzuri wa kuolewa, ila now days wanawake wanacheza cheza na wanaume katika kuwasiliana na hii inaharibu sana mahusiano na kuwafanya wanawake wengi kuonekana bure.....

Utakapokuwa katika mahusiano serious nadhani utakuja kuielewa vema hii mada, sio sasa hivi ukiwa unafanya mahusiano kujifurahisha.....wait your time is on its way.
 
Mkuu si ushasema hayo ni masuala binafsi mbona tena unayaingilia sasa
Binafsi kwa maana siwezi kukuhoji wewe ukiweka hivyo its not my business at all. Ila when it comes to someone i am in a relationship with then that means serious business kwakweli.......sababu nipo nae na kuna mipaka.......
 
Back
Top Bottom