Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,093
- 22,806
- Thread starter
- #21
Nadhani haujanielewa......nimemaanisha kuna vitu muhimu sana vimetuleta duniani hapa zaidi ya pesa.....kama familia......so hawa tunaojenga nao familia wakiwa vichwa panzi lazima tuhoji!Kwa hyo samcezar we umekuja duniani kuchungulia status za wanawake kwenye whatsapp
