We kweli Zwazwa,sasa mzungu alitengeneza gari au ajali???hainihusu mtu atakavyo jisikia,as long simu yangu,bundla langu. Go to hellHuchelewi kusema bunduki ilitengenezwa kwaajiri ya kuua watu wazuri na wabaya......
Au kusema hata magari yanavyopata ajari ni sehemu ya kazi yake mzungu alitengeneza iwe hivyo.
Hiyo kuhide status unaweza tumia kwa special cases ukisoma hata online utaona maelekezo yake......
Ila unajustfy vipi ati upo kwenye mahusiano unaficha status yako, tafasiri yake ni kwamba kuna watu hutaki wakutafute huku mumeo/mkeo akijua.......maana mnaweza kuwa mpo sehemu moja mfano sebuleni na anakuona kabisa unachat halafu akataka kukutumia kitu anashangaa upo offline.....unadhani atajisikiaje kama sio kuhisi kuna mtu unamficha huko nje......
Sio tabia nzuri kwakweli
Nimesoma uzi wako nikaja kusoma na hii kauli yako napenda kukwambia pole sana kama unaona umeshindwa kuvumilia mwambie aelewee usipende kuweka hasira au mawazo yenye maudhi akilini kuweka status mtu asione sio kosa lakini kama ni mkeo haupendi inaonekana anakudanganya mwambieImagine ni mkeo haikupi wasi wasi kuwa anamficha nani kuwa hayupo online....?!
Ni kweli ......ndio maana nimehoji why watoto wa kike now days wanafanya hayo mambo mbona inakuwa ni changamoto.....Nimesoma uzi wako nikaja kusoma na hii kauli yako napenda kukwambia pole sana kama unaona umeshindwa kuvumilia mwambie aelewee usipende kuweka hasira au mawazo yenye maudhi akilini kuweka status mtu asione sio kosa lakini kama ni mkeo haupendi inaonekana anakudanganya mwambie
Una shida somewhere kwenye akili yako, maana unadharau na majibu ya kejeli. So kama vipi baki ulivyo and don't mind my topic cause inawahusu watu ambao hii kitu inawakera.....We kweli Zwazwa,sasa mzungu alitengeneza gari au ajali???hainihusu mtu atakavyo jisikia,as long simu yangu,bundla langu. Go to hell
Ukiingia katika mahusiano rasmi na ukiwa serious na wewe hii hali itaanza kukusumbua ....Sasa kama demu wako kafanya hivyo na hutaki si umuache tu.
Watu kama nyie ndio mmefanya whtsap waweke hizo privacy maana kila saa unataka uone alikuwa online saa ngapi.
Kwahiyo unataka ujue mtu kama yupo online ikusaidie nn?!Ukiingia katika mahusiano rasmi na ukiwa serious na wewe hii hali itaanza kukusumbua ....
Ila kwasasa kama bado una ruka ruka uhusiano m'moja kwenda mwingine then fanya tu kuenjoy kuwa free kufanya unachotaka....when the time is up, you will understand the bigger picture!
Unaona sasa hata haujaelewa.....na bado ajenda yako inabase kwenye mahusiano ya kihuni......Kwahiyo unataka ujue mtu kama yupo online ikusaidie nn?!
Kama mtu ulimkuta na simu na anajua matumizi yake ww hawara tu halafu unataka kumfuatilia muda wake wa kuwa online jua unajisumbua tu mwanamke hachungwi kama watu wanamkaza hata akiweka online status haisaidii
Na ni kweli ni ngumu kumchunga nwanamke mtu mzima ila pia ni ngumu sana kuishi na mtu ambaye haeleweki anafanya nini na maisha yake yaani msanii msanii na wakati anakujengea mazingira kuwa ana commitment na wewe....thats pure evil....Kwahiyo unataka ujue mtu kama yupo online ikusaidie nn?!
Kama mtu ulimkuta na simu na anajua matumizi yake ww hawara tu halafu unataka kumfuatilia muda wake wa kuwa online jua unajisumbua tu mwanamke hachungwi kama watu wanamkaza hata akiweka online status haisaidii
Congratulations umetulizana kwaVitu ambavyo najioneaga shida kuvifanya katika simu yangu..ni kujaza hayo mapassword..
Hahahaaaaa!!!!!tatizo moyo kaka oooh haya mambo hadi ukwepe mishale mingi ndiyo utayaona ya kawaidaKwani nini tatizo.....si uamuzi wake tu!!
Kama ww huoni yake basi jua na yeye haoni yako....she doesn't care about you....why should you!!!?
beat it boy...
Thank you..sioni sababu ya kujinyima uhuru wa nafsiCongratulations umetulizana kwa
70%
Wanaume wengi siku hizi tumepungua sana uwezo wa kujiaminiWanaume na nyie mmezidi sasa kulalamika!!
That is true n kweli kabsaThank you..sioni sababu ya kujinyima uhuru wa nafsi
Kabisa yaniThat is true n kweli kabsa
Kujiweka huru n ktu poah sana
Any time can happen unakua
Huru hata huna waswas
Shemela hapa aliangukiaKabisa yani