sokwe
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 2,022
- 1,063
wadada ndio tupo at risk sana kwa hawa wanaume wa mtandaoni wanaojifanya wanataka kutuoa! mtu anakutangazia ndoa hata kwa sura hakujui si majanga haya?
Sasa mtakapoanza kufahamiana si ndio sura zenu mtakapofahamiana! Au inakuwaje? Yaani tangu mwanzo mtu ametanganza ndoa?! Watu waliopo mtaani, kazini, kanisani hata chuoni ni wale wale wapo jf! What's the difference? Just take precaution ndio muhimu, above all wewe mwenyewe unajielewa/ jitambua? Huwezi kulamba dume Kama wewe jokeli!