Online competition searching for miss JF 2011!

Hahahaha .....kisha naskia keshaanza na kutoka upara kichwani! Sasa kama hata zile six packs alizokuwa anajisifia nazo zamani hana tena, ...duh! Lakini anajua hommies hamuwezi kumtosa akihitaji mshiko wa kufanyiwa lipo...:lol:

This hommie of mine these days is kinda in trouble with mother nature you know... unaweza ukachelewesha, but huwezi uka-reverse umri kusonga mbele. Sasa kipara nacho ndo' ivo tena kinamnyemelea tartiiiib!!! Hivi majuzi nimecheck eBay channel yake na Amazon market yake zote naona zimejaa mauzo ya toupee' !!! Kilichonishangaza ni kwamba ads zote zinasema ni x-small size....!!! Ukijiuliza sana hapa unapata jibu kwamba.... "yawezekana kabisa ali-order box kadhaa za toupee kwa ku-underestimate ukubwa wa kipara chake, na hivyo kujikuta haziwezi ku-cover patch yote kichwani. So my hommie has resorted to flogging the lot on eBay!!!" ... of course, this is just my wild guess lol :biggrin::lol:
 
Unawajua wale watu waliokuwa wakibeba vyuma zamani kisha wakitikisa muscles za machuchu? Usinambie nae anaweza? Lol
Hahaaa Gee sio kama wale bana, zake za 'kisasa'....lol
 
 

Hahaha Steve wewe si mzima! Hahaha
 


Nakuutikia Njiwa...

Nataraji wamekuachia kidogo kufurahia mwisho wa mwaka .... have fun! :]
 
Unawajua wale watu waliokuwa wakibeba vyuma zamani kisha wakitikisa muscles za machuchu? Usinambie nae anaweza? Lol

Gaijin hizo zinaitwa pecs (kifupi cha pectoral muscles).

Zinajengwa kwa kupiga flat bench press, incline bench press, na decline bench press.

Flat bench press inajenga mass. Incline na decline zinapendezesha.

Pia, dumbbell flyes na cable crossovers nazo hutumika katika kupendezesha zaidi.

Kwa hiyo hakuna breast tissue hapo lol. Ni pure, rock hard pec skeletal muscles.

Vipi kwani, unapenda zikichezeshwa eeh?
 
Kwa hiyo hakuna breast tissue hapo lol. Ni pure, rock hard pec skeletal muscles.

Vipi kwani, unapenda zikichezeshwa eeh?

Sipendi. Naona eeeewwww, mwanamme na machuchu, yaaacky

😀
 
Kwa hiyo unachosema ni kwamba sasa nimezeeka?

Damn you SteveDii....I got a head full of hair.

Hommie kavujisha siri! He he he

Sasa hiyo video na mimi kukuuliza kama na wewe unazo imehusu nini, kama sio kujinadi ulivyokuwa? 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…