Ongezeko la mishahara: Sekta binafsi hatuna Serikali?

ego

JF-Expert Member
Apr 10, 2013
1,620
1,407
Watnzania wamepiga kelele kuhusu kupanda kwa gharama za maisha na kilichotokea ni serikali kutangaza nyongeza kwa watumishi wa umma tu.

Ina maana sisi watumishi wa sekita binafsi hatuna serikali ya kututetea katika hali kama hizi za kupanda kwa gharama za maisha?

Kwa muda mrefu tumekuwa tukiona mara watumishi wa serikali wanapewa misamaha ya kdi mbalimbali na hii huwa haieleweki.

Kwanini mwalimu anayefundisha serikalini aruhusiwe kuagiza gari kwa kupewa msamaha wa kodi lakini mwalimu anayefanya kazi ile ile kwenye jamii kupitia mwajiri binafsi ni lazima alipe kodi.

SEKITA BINAFSI TUAMKE TUNAHITAJI UMOJA
 
Watnzania wamepiga kelele kuhusu kupanda kwa gharama za maisha na kilichotokea ni serikali kutangaza nyongeza kwa watumishi wa umma tu.

Ina maana sisi watumishi wa sekita binafsi hatuna serikali ya kututetea katika hali kama hizi za kupanda kwa gharama za maisha?

kwa mda mrefu tumekuwa tukiona mara watumishi wa serikali wanapewa misamaha ya kdi mbalimbali na hii huwa haieleweki.

ni kwa nini mwalimu anayefundisha serikalini aruhusiwe kuagiza gari kwa kupewa msamaha wa kodi lakini mwalimu anayefanya kazi ile ile kwenye jamii kupitia mwajiri binafsi ni lazima alipe kodi.

SEKITA BINAFSI TUAMKE TUNAHITAJI UMOJA
Sekta binafsi ya kazi gani?

Wewe endelea kupayukaaaaa Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi
 
Watnzania wamepiga kelele kuhusu kupanda kwa gharama za maisha na kilichotokea ni serikali kutangaza nyongeza kwa watumishi wa umma tu.

Ina maana sisi watumishi wa sekita binafsi hatuna serikali ya kututetea katika hali kama hizi za kupanda kwa gharama za maisha?

kwa mda mrefu tumekuwa tukiona mara watumishi wa serikali wanapewa misamaha ya kdi mbalimbali na hii huwa haieleweki.

ni kwa nini mwalimu anayefundisha serikalini aruhusiwe kuagiza gari kwa kupewa msamaha wa kodi lakini mwalimu anayefanya kazi ile ile kwenye jamii kupitia mwajiri binafsi ni lazima alipe kodi.

SEKITA BINAFSI TUAMKE TUNAHITAJI UMOJA
Hapo kwenye kupata msamaha wa kulipa kodi na bora utulie manake hiyo gari inatembea na kodi yake ambayo haikulipwa na utajua hili pindipo ukitaka kuuza hilo gari kwa mtu mwingine lazima hiyo kodi ilipwe
Labda uamue kilichinja na kuliuza kama chuma chakavu au vinginevyo lkn siyo hari kama gari.
 
Watnzania wamepiga kelele kuhusu kupanda kwa gharama za maisha na kilichotokea ni serikali kutangaza nyongeza kwa watumishi wa umma tu.

Ina maana sisi watumishi wa sekita binafsi hatuna serikali ya kututetea katika hali kama hizi za kupanda kwa gharama za maisha?

kwa mda mrefu tumekuwa tukiona mara watumishi wa serikali wanapewa misamaha ya kdi mbalimbali na hii huwa haieleweki.

ni kwa nini mwalimu anayefundisha serikalini aruhusiwe kuagiza gari kwa kupewa msamaha wa kodi lakini mwalimu anayefanya kazi ile ile kwenye jamii kupitia mwajiri binafsi ni lazima alipe kodi.

SEKITA BINAFSI TUAMKE TUNAHITAJI UMOJA
Umoja huo upo, kuna TPSF (Tanzania Private Sector Foundation) nadhani hawa ndio wenye jukumu hilo la maslahi ya wafanyakazi.
 
Akili ni nywele, Ila nadhani ww una upara
Yupo sawa, mshahara ukiongezeka serikalini na private pia wanaongeza maana tunaendeshwa na sheria moja Nchi nzima, ila kazi iwe inayotambulika yenye mkataba maana yake kama kima cha chini serikali imesema iwe ni laki na nusu basi hata private itakuwa hivyo na wale wanaofata pia watajikuta wameongezewa, pia sheria za Kodi zinazotumika serikalini ndizo zinazotumika kwa wafanyakazi wa private wenye mikataba ya kazi na wakaguzi wa TRA na Labor wanapita kukagua mikataba ya wafanyakazi kama ipo kisheria, ila kazi za casual au zisizo na mikataba ndo hizo hazitumii kima cha chini cha mshahara.
 
Hii nchi hii haki za wafanyakazi hazitambuliki kabsaa. Wafanyakazi wengi hawajui haki zao na sio private tu hata public sector.
Upo sahihi kabisa. Umeongea point sana.

Kuna Kampuni binafsi nilishawahi kufanya kazi, wakikupa Mkataba mojawapo ya vigezo na masharti yao ni usiwe Mwanachama wa TUGHE na mpaka unaondoka usije ukafikiria kujiunga na hiko Chama. Otherwise you're not eligible!
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom