kinakirefu
Member
- Jan 20, 2013
- 75
- 14
Jamani mbona hotuba ya waziri wa elimu haijataja asilimia za ongezeko la mishahara kwa walimu
Nashangaaaa na bajeti itapita wote wanabwata aunguko la elimu kisa mishahara duni ya walimu sasa zaidi ya 50% ya bajeti ya elimu inaenda body ya mikopo elimu ya juu sasa ongezeko na maslahi ya waalimu hakuna. Duuuuu wasitegemee miujizaa
Jamani mbona hotuba ya waziri wa elimu haijataja asilimia za ongezeko la mishahara kwa walimu
Wewe unataka asilimia ili ufanye nini subiri kwenye slip utaona.Jamani mbona hotuba ya waziri wa elimu haijataja asilimia za ongezeko la mishahara kwa walimu
Du afadhali walimu waongezewe mishahara wapungue kule Slip Way usiku kwenye part time job!
Muongezewe mshahara kwa kazi gani mnayofanya,au kwa elimu gani mlionayo vilaza wakubwa nyie?mmekalia kuuza kashata na mandazi huko mashuleni huku mkiwaacha wadogo zetu wakifeli mitihani halafu bado mnataka muongezewe mishahara!acheni tabia za kiliberali bana.
Muongezewe mshahara kwa kazi gani mnayofanya,au kwa elimu gani mlionayo vilaza wakubwa nyie?mmekalia kuuza kashata na mandazi huko mashuleni huku mkiwaacha wadogo zetu wakifeli mitihani halafu bado mnataka muongezewe mishahara!acheni tabia za kiliberali bana.
vilaza ni wewe na waliokuzaa!
Pumbafu wewe ungejulia wapi kusoma ka ma ungefundishwa na kilaza?
Nyok.o zako weweMuongezewe mshahara kwa kazi gani mnayofanya,au kwa elimu gani mlionayo vilaza wakubwa nyie?mmekalia kuuza kashata na mandazi huko mashuleni huku mkiwaacha wadogo zetu wakifeli mitihani halafu bado mnataka muongezewe mishahara!acheni tabia za kiliberali bana.
Muongezewe mshahara kwa kazi gani mnayofanya,au kwa elimu gani mlionayo vilaza wakubwa nyie?mmekalia kuuza kashata na mandazi huko mashuleni huku mkiwaacha wadogo zetu wakifeli mitihani halafu bado mnataka muongezewe mishahara!acheni tabia za kiliberali bana.