Ongezeko la mashoga bongo. Tatizo ni nini?

Ongezeko la mashoga bongo. Tatizo ni nini?

hao cha mtoto, ingia kwenye facebook ndo utaona balaa! Kuna watu kwenyr facebook wanajiita majina kama dennis mk..du bikra, joel mtamu, kuku mtam, kitom...i mk..du mzuri, joseph malya mpenda mb...o, kijana mzuri, sijui hamad mtam, mpenda tigo, mfir...i mahiri, na mengi mengi ya hivyo.
Halafu kuna magroup kwenye facebook ya kishoga shoga kama vile tanga gays, shoga bikra, wasen...e wa dar yaanj facebook ndo balaaa wanatongozana huko.


Mimi kuna siku nilipata frienf request ya mtu anajiita kit...bi mku...u mzuri. Daaaah nilishangaaa sana!

Kuna hii namba ya voda 0754 559...5 yaani huyu inaelelea ni shoga aliyekubuhu kwan ana majina kama 800 hv lakin the same namba anaomba huduma!

mama yangu uuuuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hali ni mbaya kwa kweli, hebu ingieni facebook muone ................................ Alichosema mdau ni kweli aisee daah
 
nahsi sheria ikiwekwa kwa kumkamata huyu na kumweka ndan mbna watakimbia tu
 
Serikali imelala?? Jeshi wachukue nchi tu kama imelala.
 
watavuna wanachokipanda siku ya hukumu kwani mwenyezi mungu anaona kila wakifanyacho
 
Kwanza kabisa, tatizo lipo kwetu wenyewe.
Kungekuwa hawapati wateja, wenyewe wngejirudia makwao wakalalwe huko huko. Kwa sababu wengi wetu mnawatamani kwa hizo laana zenu, ndo maana wameamua kujianika msisumbuke kutafuta.
Pili, baada ya kuwaminya saana wajifiche, hilo dili likawa kuubwa. Walikuwa wanajiona ka uchafu flani hivi, sasa walipoona wanafuatwa wakajitokeza.
Mnapozidi kuwasema ndio wanaonekana adimu. Waacheni wakae walivyo. Kama ni nini, mfuateni Mseveni, aje atawale mpaka bongo. Watatoweka wenyewe. Mleteni mzee Mugabe, aje hata kwa kipindi kimoja tu cha miaka 5. Watatoweka wenyewe.
Lakini kama ni hawa viongozi wetu hapa, mnapoteza mda wenu. Ni kutwanga maji tu. Wanajua kuwazuia wapinzani wasizungumze hadharani sio mashoga kujiuza hadharani.
 
Nimetembea baa nyingi kinondoni na sinza siku za karibuni, nimeshangazwa na ongezeko kubwa sana la mashoga tena siku hizi hawajifichi kama zamani!! Juzi nilikuwa baa moja pale kinondoni opposite na mango garden nikawakuta wengi sana wanagonga kilaji na kujichekesha kama madem. Ikabidi nimuulize bar maid akaniambia wanafanya sherehe ya rafk yao!!
Hivi tatizo ni nini? Maana ni hatari sana kwa jamii yetu na naona jamii inaanza kuwakubali taratibu
Wamagharibi, maana wanaupigia debe kupita kiasi
 
Back
Top Bottom