Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 10,185
- 7,368
huo utafiti umeufanya wapi mpaka useme mashoga 99.9% ni waislam?
Ni nani aliekwambia jina ndio dini?hujaona mtu anaitwa juma lkn mkristo?
Ok,km data zako ni za kweli je kule marekan na ufaransa ambapo ndoa za mashoga zimehalalishwa na zinafungwa makanisani nako wakazi wake ni waislam kwa 99.9%?
By ze way,mbona kashfa ya ushoga imelitawala kanisa mpaka watumishi wa mungu wanadai haki yao kwamba waruhusiwe kua mashoga?mbona haya huyasemi?
Akili yako imetawaliwa na udini kiasi kwamba unapindisha ukweli,
Nafikiri anasemea mashoga wa hapa Bongo.