Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,360
- 11,515
Serikali awamu ya 4 ilikuwa ni moja ya Serikali Fisadi zilizopata tokea Barani Afrika. Kwa wanasiasa na watoto wao kuchuma mali kadri ilivyowezekana.
Mpaka kufikia kuuza/gawa viwanja/maeneo ya Serikali kutumika na Makampuni binafsi. Refer eneo la Tazara kupewa Kampuni moja ya kuuza Mafuta ya Magari.
Nadhani hawa watu wamerudi sasa. Wamerudi kuja rudisha pesa zao. Na wameingia kwa nguvu kupitia ongezeko la kodi ya mafuta.
Ni akina nani walio nyuma ya hili? Ni akina nani wamiliki wa Vituo kama Lake Oil, Oil Com n.k?
Mpaka kufikia kuuza/gawa viwanja/maeneo ya Serikali kutumika na Makampuni binafsi. Refer eneo la Tazara kupewa Kampuni moja ya kuuza Mafuta ya Magari.
Nadhani hawa watu wamerudi sasa. Wamerudi kuja rudisha pesa zao. Na wameingia kwa nguvu kupitia ongezeko la kodi ya mafuta.
Ni akina nani walio nyuma ya hili? Ni akina nani wamiliki wa Vituo kama Lake Oil, Oil Com n.k?