One night stand ...

Machangu ye aangalii km mtu anamjua ama hamjui yeye anachojali ni pesa tu

Sasa ww mtu hamjui hakujui unampa tu pupuchi km si umalaya ni nin

Ile ni "fair play" kwa wahitaji yaani ntu mmoja una nazi na ntu mwingine naye ana kibao mbuzi na wote mnahitaji tui so huo ndio nkatabaaaa!!!!
 
Ile ni "fair play" kwa wahitaji yaani ntu mmoja una nazi na ntu mwingine naye ana kibao mbuzi na wote mnahitaji tui so huo ndio nkatabaaaa!!!!

Hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ............!!!!!!!!!!!!!

Yaani nimecheka hadi machozi .....lol!!
 
Nipo na my one night stand hadi kesho....
sijui status ya u-one night ilichange au, make makubaliano ni kuonjeshana tu afu tusijuane
ila ndo bado naonja hadi sahivi


Basi huyo mwenye pete kidoleni hukumkubali, network ilikuwa inasearch!
 

Naona umemaliza kila kitu hapo sina cha kuongezea zaidi.. naunga mkono hoja.,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…