One night stand ...

One night stand ...

yeeerrrr ni tamuuu sanaaaa i thank God naendelea kuinjoi till dis time woohhhh ile ni tit for tat

unaendelea kuinjoy one night stand hadi leo? Basi we yako ishabadilika status si one night tena
 
Kwa jinsi ulivyoisimulia huyo mwanamke anaonekana ni kicheche tu wa mjini hata hiyo ndoa ni jina tu..na ungegusia kidogo tu kupiga nae one night stand...na wewe ungepewa zigo.,
 
Ukishaona ulinogewa na One night stand then tayari hukuwahi kufurahia tendo na mwenza wako..sasa umempata alokukuna haswaa ndo maana ukadata. Ila kama anaekukuna anagusa panapohusika,One night stand ikitokea ni 'ya kufunika mwanaharamu apite'...hamu tu ya wakat ule kishaa unatupia kwenye dustbin!!!!
 
Hainaga maandalizi ya kupanga tarehe, muda na mahali, inakukuta kwenye eneo ambalo huwazi kukutwa/kufumaniwa, sio ya kulazimishana umeamua mwenyewe na mara nyingi huwa na msukumo wa uhitaji ... uko heat na mbele yako kuna kitu ile roho inapendaga... kwa ujumla huwa iko tulivuuuuu na inakufanya uenjoy na kutamani iendelee.
 
Mliendelea na huyo one night stand? Kama mliendelea, inakwolifai kuwa one night stand au ni uhusiano ulioanza ghafla kama meseji inayoingia kwenye simu?
Nipo na my one night stand hadi kesho....
sijui status ya u-one night ilichange au, make makubaliano ni kuonjeshana tu afu tusijuane
ila ndo bado naonja hadi sahivi
 
Eiyer,

badala ya kufanya kazi unaanza kupiga soga na wanawake!

Fanya connection basi mkuu, inaonekana ofisi yako ina warembo wengi sana dadeki!

next week nakuja igombe kukutembelea mkuu.. Dar ishan'chosha..
 
Last edited by a moderator:
Hainaga maandalizi ya kupanga tarehe, muda na mahali, inakukuta kwenye eneo ambalo huwazi kukutwa/kufumaniwa, sio ya kulazimishana umeamua mwenyewe na mara nyingi huwa na msukumo wa uhitaji ... uko heat na mbele yako kuna kitu ile roho inapendaga... kwa ujumla huwa iko tulivuuuuu na inakufanya uenjoy na kutamani iendelee.
mmmmh..jamani...una enjoy na stranger? je, huogopi kuwa labda ana mission nyingine tofauti na hiyo ngono?
 
Nimewahi malanyingi, kama unaamini unaweza kumpenda mtu at a first site, then basi amini pia one night stand ni sheedah..ila mala nyingi nakuwa niko sumu pia naamini hata ukiwa sober inaezekana though sijajaribu.
 
Hi topic ishaletwa humu siku chache zilizopita:

Naomba mods muunganishe huu uzi na ule mwingine............

Umezidi utoro na wewe Eiyer

Sure....ndani ya mwaka huu nimeshaziona topic mbili zimazofanana na hii. Moja title yake ilikuwa hivihivi na ilianzishwa na Nyani Ngabu na ya pili kichwa kilikuwa tofauti lkn content ni hii hii
 
Last edited by a moderator:
Eiyer,

badala ya kufanya kazi unaanza kupiga soga na wanawake!

Fanya connection basi mkuu, inaonekana ofisi yako ina warembo wengi sana dadeki!

next week nakuja igombe kukutembelea mkuu.. Dar ishan'chosha..

Sitaki kuamini eiyer anakaa igombe?
 
Last edited by a moderator:
unajua nini Eiyer? ni hivi,

mwanamke yeyote ambaye yuko kwenye ndoa, si rahisi kupewa ile mitindo huru ya mapenzi na ngono (sex free styles), hii ni kwa sababu tu ya kuweka heshima kwa mwanamke, na mwanamke nae anakuwa mouth shut ili asionekane malaya.. basi wote wanakuwa wamefunikwa na wingu la 'nani aanze'?..

mwisho wa siku, kila mtu ana fanya fanya tu ili mradi sex imefanyika..

Kazi inakuja pale mwanamke anapokutana na watu kama hawa.. Ndugu yangu Eiyer nakwambia, zile free style zote ambazo ziko sokoni na kwenye mikanda ya ngono na kila aina ya unyankuzi, basi hufanyika!

wanawake wanakunjwa viuno hao, migongo inageuzwa geuzwa hiyo, mtu anawekwa mtindo ambao utadhani kapigwa robber na john cena, lakini ndo ngono hiyo.. mwisho wa siku atafurahia ngono na kumuona mumewe 'boya' tu ukifananisha na yule jamaa wa from nowhere..

We unadhani hata kama ni mimi excel nimekutana na mwanamke tu tukafikiana negotitiation kulana, unadhani ntaweka uso wa huruma? ohoo.... I WILL KILL HER... MPAKA KESHO ANIKUMUBKE NA KUNIOTA!

by the way, mapenzi ya wanadoa wengi ni brutality tu! no freedom!
 
Last edited by a moderator:
Sitaki kuamini eiyer anakaa igombe?

amini hivyo honey, ile barabara isiyo na lami inayoanzia airport ndo kwao Eiyer.

Mi kwetu Nyakato bibie..!

Nina mpango wa kumnunulia pikipiki ile ndeeeefu kwa ajili ya kumrahisishia usafiri! lol.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom