PesaNdogo
JF-Expert Member
- Jun 19, 2013
- 1,994
- 1,293
Habari zenu,
Katika kuchunguza maisha ya watu hasa wanaume nimegundua hawabadiliki. Kama mwanaume ana zaa zaa ovyo ataendelea hivyo, kama ni Malaya (player) ataendelea hivyo hivyo. Wanawake tunajipa moyo labda atatulia nk ila hapo ndo tunapokosea, they never change. Kama anakupiga hataacha kukupiga. Tusilazimishe ndoa na mwanaume yeyote mana majuto yatakuwepo. Kuna dada alimpata player akapata mimba na kufanya kila namna akaolewa na jamaa, sasa mwanaume anatembea na shosti zake, wadada wa kazi, wafanya kazi wenzie na watu wengine wasiojulikana na yeye anajua maana wengine walimpigia hata simu kwamba yeye yuko na huyo mwanaume kwasababu ya madawa yake tu! Ndoa imekuwa ngumu, mbaya zaidi alipoolewa alimtibua mama mkwe so na ndugu wa mwanaume wako mbali nae.
Shoga zake wote kagombana nao, kuanzia waliomwambia mumeo kanitongoza, waliotembea na mumewe na wale aliowahisi kwamba wanaweza kutembea nae.
Jamani wito wangu kwa wadada, ukigundua mwanaume wako ana tabia ya hovyo yoyote kimbia mapema usidhani atabadilika kwa ajili yako tena usijifunge nae katika ndoa maana atakutesa sana. Kama kawazalisha wenzio na kuwaacha atashindwaje kukufanyia wewe hivyo hivyo, kama anakutendea vibaya hata acha.
Katika kuchunguza maisha ya watu hasa wanaume nimegundua hawabadiliki. Kama mwanaume ana zaa zaa ovyo ataendelea hivyo, kama ni Malaya (player) ataendelea hivyo hivyo. Wanawake tunajipa moyo labda atatulia nk ila hapo ndo tunapokosea, they never change. Kama anakupiga hataacha kukupiga. Tusilazimishe ndoa na mwanaume yeyote mana majuto yatakuwepo. Kuna dada alimpata player akapata mimba na kufanya kila namna akaolewa na jamaa, sasa mwanaume anatembea na shosti zake, wadada wa kazi, wafanya kazi wenzie na watu wengine wasiojulikana na yeye anajua maana wengine walimpigia hata simu kwamba yeye yuko na huyo mwanaume kwasababu ya madawa yake tu! Ndoa imekuwa ngumu, mbaya zaidi alipoolewa alimtibua mama mkwe so na ndugu wa mwanaume wako mbali nae.
Shoga zake wote kagombana nao, kuanzia waliomwambia mumeo kanitongoza, waliotembea na mumewe na wale aliowahisi kwamba wanaweza kutembea nae.
Jamani wito wangu kwa wadada, ukigundua mwanaume wako ana tabia ya hovyo yoyote kimbia mapema usidhani atabadilika kwa ajili yako tena usijifunge nae katika ndoa maana atakutesa sana. Kama kawazalisha wenzio na kuwaacha atashindwaje kukufanyia wewe hivyo hivyo, kama anakutendea vibaya hata acha.