once a player, always a player

once a player, always a player

okay sijui, at least Nimeona na wahusika wamenisimulia yanayowakuta.
Naona ni vema tujifunze hasa nyakati hizi za wanawake kuforce ndoa na kugombea wanaume.

Like like like....
Ikifika muda wa kufanya haya maamuzi naogopa sana, nina hofu aisee
 
huyo shoga ako nae akome.anavuna alichopanda!
Ss yy alilazimisha ndoa ya nn?
..unajua huwa tunasahau kuwa kila kitu kina gharama zake!lazima alipe gharama!
...ndoa ina misingi yake!ukienda kinyume lazima ukubali kulipa gharama!
...mshauri amrudie Mungu,afanye toba then aombe san tu kwaajili ya hiyo familia yake!
 
Hii dhana ya kuchezewa ndo siielewagi. Kumchezea ndio nini. Kakubali kwa hiari yake. Tena unamwambia kabisa una mke lakini anakupa tu. Anakupa na mbinu mfanye nini mkeo asijue. Akiwd na ny.ege zake ye mwenyewe anakuita ukamhudumie. Ukimzuga huna hela ye anakwambia anazo. Ndo kumchezea huko? Utamchezeaje mtu mwenye hamu yake?

Acheni kuwa selfish, kuna wanawake kibao hawana wanaume na wao wanahitaji huduma zetu.

NB. Linapokuja swala la necha hakuna tofauti ya mnyama na binadamu. Wote tunakula, tunakunywa, tunakuny.a na tunajamiana. Samesame.

Aisee..........
 
Pole sana mdada najua yamekukuta mabwaku !!
Things shall never be the same !!
Hakuna kilichonikuta, hayo yamewakuta ndugu zangu nlio nao ktk jamii. Sio lazima kitu kikukute eti ndo useme,kama unavoandika wewe vimekukuta pole na sio kila mtu amekutwa na anachozungumzia.
 
huyo shoga ako nae akome.anavuna alichopanda!
Ss yy alilazimisha ndoa ya nn?
..unajua huwa tunasahau kuwa kila kitu kina gharama zake!lazima alipe gharama!
...ndoa ina misingi yake!ukienda kinyume lazima ukubali kulipa gharama!
...mshauri amrudie Mungu,afanye toba then aombe san tu kwaajili ya hiyo familia yake!
asante kwa mchango wako, tujifunze kutokana na makosa yake
 
Ambao ni wachache saaaana ukilinganisha na utitiri mkuuubwa wa wanawake unaohitaji huduma ya wanaume.

Kuna utafiti umefanyika huku Afrika na huko Amerika, Ulaya na Asia kuwa ndani ya miaka 10 ijayo wanaume watakuwa wengi mara mbili ya wanawake. Sijui itakuwaje hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom