Ona unafiki wa hawa Maayatollah na wizi wao kwa kutumia dini

Ona unafiki wa hawa Maayatollah na wizi wao kwa kutumia dini

The Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
10,959
Reaction score
13,426
1768272019025.png

Hii ni picha ya kaburi la ayatollah Ruhollah Khomeini lillilogharimu takriban dola bilioni mbili. Halafu wanakwambia kuwa hakuna shirk wala kuabudia sana au kufanya israfu au matumizi mabaya. Hii kama siyo israfu na shirk ni nini jamani?
1768272165911.png

Hicho ndicho kitovu cha jengo lote hilo. Waislam wakizikwa huwa hawaweki alama. Anayebisha, naomba anlwekee picha ya mfalme Fahd wa Saudia. Kama siyo unafiki huu ni nini jamanini?
Hebu angalia kaburi la mtume Mohamed
1768272570235.png
 
View attachment 3529236
Hii ni picha ya kaburi la ayatollah Ruhollah Khomeini lillilogharimu takriban dola bilioni mbili. Halafu wanakwambia kuwa hakuna shirk wala kuabudia sana au kufanya israfu au matumizi mabaya. Hii kama siyo israfu na shirk ni nini jamani?
View attachment 3529237
Hicho ndicho kitovu cha jengo lote hilo. Waislam wakizikwa huwa hawaweki alama. Anayebisha, naomba anlwekee picha ya mfalme Fahd wa Saudia. Kama siyo unafiki huu ni nini jamanini?
Hebu angalia kaburi la mtume Mohamed
View attachment 3529238
nimekumbuka yale ya madon wa unga
 
View attachment 3529236
Hii ni picha ya kaburi la ayatollah Ruhollah Khomeini lillilogharimu takriban dola bilioni mbili. Halafu wanakwambia kuwa hakuna shirk wala kuabudia sana au kufanya israfu au matumizi mabaya. Hii kama siyo israfu na shirk ni nini jamani?
View attachment 3529237
Hicho ndicho kitovu cha jengo lote hilo. Waislam wakizikwa huwa hawaweki alama. Anayebisha, naomba anlwekee picha ya mfalme Fahd wa Saudia. Kama siyo unafiki huu ni nini jamanini?
Hebu angalia kaburi la mtume Mohamed
View attachment 3529238
Hawa jamaa wako too fresh. Lakini wao wanajiona eti wanamcha Mungu sana. Ni wakatili, wanaua, wanafanya biashara za wizi etc..
 
Hongera Akili zako ndo zilipofikia apo sikulaumu
Hongera nawe kwa kujitahidi kwa vile ushavuka hapo nilipo mimi. Nami sikulaumu. Utaahira siyo lazima kila mtu atangaze. Unawezaje kuwaamini wasiokuamini, kuwathamini wasiokuthamini, waliokuuza utumwani na mengine mengi bado ukawa. mzima kiakili?
 
Back
Top Bottom