ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 17,281
- 22,012
anao wa kutoshaKwa Kweli Power Mpaka Mie Wa Chato Ninayo,na Nzuri Hapo Kwa Fifty Kufilisika Imekaaje?Hivi May Weather Hana Mtoto?
vp bibie wataka mzalia nini
anao wa kutoshaKwa Kweli Power Mpaka Mie Wa Chato Ninayo,na Nzuri Hapo Kwa Fifty Kufilisika Imekaaje?Hivi May Weather Hana Mtoto?
huna unalojua kuhusu 50 cent kaa kimya usilete story za vijiweni fatilia ndipo uandike50 cent
Tyson
Kuna yule wa nba nimemsahau
Walikua na pesa na wala bata sana lakin wakafilisika,huyu jamaa ajiangalie sana
ww kama nani unahisi maisha yanahitaji uwe serious muda woteVitu ka hivi mshee watsapp hukoo..
Mnashusha hadhi ya JF..
Huyo anayesema 50 cent kafilisika hana analojua anasikilizaga stori za vijiweni50 Cent kafilisika lini mkuu?
anawatoto kalibia watanoKwa Kweli Power Mpaka Mie Wa Chato Ninayo,na Nzuri Hapo Kwa Fifty Kufilisika Imekaaje?Hivi May Weather Hana Mtoto?
ww tatizo hunaWenae ni wale wale.
ww umejenga kipi kazi majungu tu humu jfHabari hii ina manufaa gani katika kujenga Tanzania ya viwanda na si- ya vi-wonder?
Kupumzika ni ushamba? Kwa hiyo kufanya kazi siku zote za mwaka ndo ujanja? Hata hivyo, kama asingekuwa na hela ya kumpeleka huko, asingekwendaNgozi nyeusi ndivyo ilivyo hadi kwenye ubongo, huwezi kukuta ngozi nyeupe inafanya ushamba kama huo.
50 cent kafisillika? Go get your facts again mkuu usiudanganye umma50 cent
Tyson
Kuna yule wa nba nimemsahau
Walikua na pesa na wala bata sana lakin wakafilisika,huyu jamaa ajiangalie sana
Akili za black Americans huwa zina-reflect all blacks, siju tuna akili gani au ndio umasikini wa fikra au akili.Black Amerikan wanaponda sana maisha na kufilisika nako ni rahisi sana huyo jamaa ajiangalie sana
Kwa Kweli Power Mpaka Mie Wa Chato Ninayo,na Nzuri Hapo Kwa Fifty Kufilisika Imekaaje?Hivi May Weather Hana Mtoto?