On bed kuna wanaume wa aina nne

[Akienda semina tkuyu wiki moja tu ukae mkao wa kupokea watoto kutoka kwa wake wenza, ahaaaaa!]
In this HIV/AIDS era, mtu unatoka nje ya ndoa?
 
[Akienda semina tkuyu wiki moja tu ukae mkao wa kupokea watoto kutoka kwa wake wenza, ahaaaaa!]
In this HIV/AIDS era, mtu unatoka nje ya ndoa?

Mmmmh anzisha hiyo topic usikie majibu yake kama hujakaa mdomo wazi
 
HUyo namba 1 lazima atakuzeesha haraka na kukufanya upungue lol, unless um regulate
namba 2 is an OK guy
namba 3 mmhh inahitaji msaada wa Mungu kuvumilia khaa
No 4 NO man for me!!!

mi mbili ndivyo nilivyo hata moja ukihitaji ntakuwa hivyo..
 
Kama mwanaume umekamilika haka kamchezo unaweza kucheza kila siku mi ilikuwa hivyo nikapigwa stop akasema namzeesha kwahiyo siku hizi kwa wiki mara 4 tabu kweli kulala usiku kucha bila kuduu.
 
Naturally, kuna wanaume wa aina nne kutegemea na uwezo wao kingono:

1.Kundi la kwanza ni wale ambao wana uwezo mkubwa wa tendo la ndoa, yaani kwao erection is not an issue at all. Ukiolewa na mwanaume wa jinsi hii, jishike kweli kweli maana ni mwendo mdundo. Wanapenda mchezo kila siku, kila wakati hadi sometimes mwanamke anaona kero!

2. Kundi la pili ni la wale wenye uwezo wa wastani. Hawa wanaweza kuvumilia hata kama mtapanga ratiba yenu ya mchezo wenyewe.

3. Kundi la tatu ni la wale wenye uwezo mdogo wa kufanya tendo la ndoa. Hawa wanapata erection ya kuvizia. Wakati mwingine inabidi mwanamke afanyekazi ya ziada ili mzee asimame. Wanaume wengi wa kidhungu wako ktk kundi hili, nadhani wale mliowahi au mpo kwenye mahusiano na wanaume wa kidhungu mtakuwa mashahidi.

4. Kuna la nne ni la wale wasio na uwezo kabisa, yaani si riziki, nadhani wanaeleweka hivyo sina maelezo marefu kuhusu kundi hili. Unaweza kutoa sababu kidogo labda vyakula, hali ya hewa au ?

Ushauri: ni muhimu kumjua mpenzi/mumeo yuko ktk kundi gani ili ujue namna ya kuishi naye vizuri kingono! Hii itasaidia kuepusha lawama na malalamiko ambayo yanatokana na nature.

Samahani kama ni marudio!

Hawa Jamaa ndo maana wanatushaanga sana kwa shughuli hii. Wanafikiria tunapenda kumbe ni maumbile ya mwili.
 
I think that the best researches ni zile zinazo combine two or more of these criterion. sasa itakua hujwawatendea haki wanaume if you reduce them to just 4 categories, each of them has his own level of 'performance' based on a combination of many criterion and his sexual partner preferences.

you couldn't have been more correct....
 
Hawa Jamaa ndo maana wanatushaanga sana kwa shughuli hii. Wanafikiria tunapenda kumbe ni maumbile ya mwili.

Kweli kabisa mzee. Huo urijali wetu ni sababu mojawapo kubwa kwanini wanawake wa kidhugu wanawapenda sana wanaume wa kiafrika!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom