On bed kuna wanaume wa aina nne

mmh usiombe ukutane na mzungu mwenye sifa number moja UTAJUTA, yamenikuta mwenzenu

Alitumia dawa huyo, mfanyie surprise bila appointment uone atakavyochemsha!
 
How about in coach maana suala la in bed umelifafunua
vizuri na hii ilihitaji uwe na mahusianao na hao watu wote
uliowazungumzia kwa mantiki hiyo we ni noma na umefunzu
 
mimi nina uwezo mkubwa sana, ni wa kundi lile la kwanza, tatizo langu sasa, nikisafiri..siku nne hazipiti itabidi nitafute kidumu manake niko mbali na waifu...kazi zangu za safari nje ya mkoa huishia kutafuna nje...kila nikijizuia nashindwa, sasa sijui tusemeje!
 
mimi nina uwezo mkubwa sana, ni wa kundi lile la kwanza, tatizo langu sasa, nikisafiri..siku nne hazipiti itabidi nitafute kidumu manake niko mbali na waifu...kazi zangu za safari nje ya mkoa huishia kutafuna nje...kila nikijizuia nashindwa, sasa sijui tusemeje!

Njoo ufanyiwe maombiii.....
 
mimi nina uwezo mkubwa sana, ni wa kundi lile la kwanza, tatizo langu sasa, nikisafiri..siku nne hazipiti itabidi nitafute kidumu manake niko mbali na waifu...kazi zangu za safari nje ya mkoa huishia kutafuna nje...kila nikijizuia nashindwa, sasa sijui tusemeje!

Kiukweli hili ni tatizo kubwa sana kwa watu wa kundi la kwanza, wengi wanashindwa kuvumilia wakiwa mbali na wake zao. Lakini ukweli unabaki pale pale kwamba hii yote inaongezea na ile hali ya kuendekeza sana tendo hili. Ngono ni hisia, bila hisia hakuna ngono hasa kwa mwanaume. Kwahiyo ndg yangu dawa yake ni kupunguza kuwazia tendo hili ukiwa mbali na mkeo, na kuamini kuwa ukifanya tendo hili na mtu mwingine ambaye siyo mkeo basi umetenda dhambi mbele za Mungu. Hizo ndo dawa za kupambana na tamaa za mwili.
 
Naturally, kuna wanaume wa aina nne kutegemea na uwezo wao kingono:

1.Kundi la kwanza ni wale ambao wana uwezo mkubwa wa tendo la ndoa, yaani kwao erection is not an issue at all. Ukiolewa na mwanaume wa jinsi hii, jishike kweli kweli maana ni mwendo mdundo. Wanapenda mchezo kila siku, kila wakati hadi sometimes mwanamke anaona kero!

2. Kundi la pili ni la wale wenye uwezo wa wastani. Hawa wanaweza kuvumilia hata kama mtapanga ratiba yenu ya mchezo wenyewe.

3. Kundi la tatu ni la wale wenye uwezo mdogo wa kufanya tendo la ndoa. Hawa wanapata erection ya kuvizia. Wakati mwingine inabidi mwanamke afanyekazi ya ziada ili mzee asimame. Wanaume wengi wa kidhungu wako ktk kundi hili, nadhani wale mliowahi au mpo kwenye mahusiano na wanaume wa kidhungu mtakuwa mashahidi.

4. Kuna la nne ni la wale wasio na uwezo kabisa, yaani si riziki, nadhani wanaeleweka hivyo sina maelezo marefu kuhusu kundi hili.

Ushauri: ni muhimu kumjua mpenzi/mumeo yuko ktk kundi gani ili ujue namna ya kuishi naye vizuri kingono! Hii itasaidia kuepusha lawama na malalamiko ambayo yanatokana na nature.

Samahani kama ni marudio!

Namba moja iko sawa, ila ubongo una nafasi kubwa kwenye ngono, namaanisha mtu kijaliwa hisia za juu.
Mfano mimi mke akivaa lingerie huwa hailali maana napenda kusex na mwanamke akiwa mavalia chupi alafu mimi naisogeza kwa pembeni then naingiza kipembeni pembeni.napenda sana.
 
Exactly mkuu, ila pia itakusaidia kujua tatizo lake na hivyo kumvumilia na kumsaidia zaidi ktk mchezo wenyewe. Otherwise, utaishia kumlaumu na hapo utakuwa ndo unamfanya asijiamini kabisa!!!

Lakini mkuu huo mchezo si utachochea watu kuwa 'waonjaji' na kuacha tu kwa kisingizio kwamba hamna nguvu sawa?
 
Lakini mkuu huo mchezo si utachochea watu kuwa 'waonjaji' na kuacha tu kwa kisingizio kwamba hamna nguvu sawa?

Suala si kujua kama nguvu sawa, suala ni kuweza kujua mapungufu ya mwenzio ili uweze kufanya maamuzi sahihi. Hili ni muhimu sana kwa mwanamke kujua uwezo wa mwandani wake
 
mito, ina maana kundi la nne hata hizi dawa zetu sa asili za kuongeza nguvu za kiume kama MZAKARU, ZOKA, FARU, MKUYATI, DUME, SHOKA, KAMANYOLA, KAMCHAPE na kadhalika, zote hazifui dafu kweli?

hata akitumia ile yako hapo hamuna kitu!!
 
Suala si kujua kama nguvu sawa, suala ni kuweza kujua mapungufu ya mwenzio ili uweze kufanya maamuzi sahihi. Hili ni muhimu sana kwa mwanamke kujua uwezo wa mwandani wake

Nadhani kufanya hivyo mkiwa ndani ya ndoa ni bora zaidi kwa sababu mnaanza kwa kupendana kwanza jinsi mlivyo bila kuangalia uwezo wa mapigo au vitu vingine. Na kwa kuwa unakuwa umempenda mwenzio ni rahisi kumwelewa, kumvumila na hata kutafuta njia za kumsaidia au kutafuta balance ili mwendeleze pendo lenu.
 
Naturally, kuna wanaume wa aina nne kutegemea na uwezo wao kingono:

1.Kundi la kwanza ni wale ambao wana uwezo mkubwa wa tendo la ndoa, yaani kwao erection is not an issue at all. Ukiolewa na mwanaume wa jinsi hii, jishike kweli kweli maana ni mwendo mdundo. Wanapenda mchezo kila siku, kila wakati hadi sometimes mwanamke anaona kero!

2. Kundi la pili ni la wale wenye uwezo wa wastani. Hawa wanaweza kuvumilia hata kama mtapanga ratiba yenu ya mchezo wenyewe.

3. Kundi la tatu ni la wale wenye uwezo mdogo wa kufanya tendo la ndoa. Hawa wanapata erection ya kuvizia. Wakati mwingine inabidi mwanamke afanyekazi ya ziada ili mzee asimame. Wanaume wengi wa kidhungu wako ktk kundi hili, nadhani wale mliowahi au mpo kwenye mahusiano na wanaume wa kidhungu mtakuwa mashahidi.

4. Kuna la nne ni la wale wasio na uwezo kabisa, yaani si riziki, nadhani wanaeleweka hivyo sina maelezo marefu kuhusu kundi hili.

Ushauri: ni muhimu kumjua mpenzi/mumeo yuko ktk kundi gani ili ujue namna ya kuishi naye vizuri kingono! Hii itasaidia kuepusha lawama na malalamiko ambayo yanatokana na nature.

Samahani kama ni marudio!

umeangalia quantity tu, hujaangalia quality, aisee:thinking:
 
Nadhani kufanya hivyo mkiwa ndani ya ndoa ni bora zaidi kwa sababu mnaanza kwa kupendana kwanza jinsi mlivyo bila kuangalia uwezo wa mapigo au vitu vingine. Na kwa kuwa unakuwa umempenda mwenzio ni rahisi kumwelewa, kumvumila na hata kutafuta njia za kumsaidia au kutafuta balance ili mwendeleze pendo lenu.

Unachosema ni kweli, lakini kuna mwingine anaweza kusema loh ningejua mapema nisingefunga ndoa na huyu, kumbe yuko hivi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom