mi mbili ndivyo nilivyo hata moja ukihitaji ntakuwa hivyo..
Wewe kundi gani au uliye nae kundi gani?
Mi wangu namba 4
Ni 'in bed' na siyo 'on bed'.
Sasa mwanamke yuko kama kabati na nyuma ukimuona kama ironing board,sasa hapo mimi erection itatoka wapi?????????????????
mimi nina uwezo mkubwa sana, ni wa kundi lile la kwanza, tatizo langu sasa, nikisafiri..siku nne hazipiti itabidi nitafute kidumu manake niko mbali na waifu...kazi zangu za safari nje ya mkoa huishia kutafuna nje...kila nikijizuia nashindwa, sasa sijui tusemeje!
mimi nina uwezo mkubwa sana, ni wa kundi lile la kwanza, tatizo langu sasa, nikisafiri..siku nne hazipiti itabidi nitafute kidumu manake niko mbali na waifu...kazi zangu za safari nje ya mkoa huishia kutafuna nje...kila nikijizuia nashindwa, sasa sijui tusemeje!
Naturally, kuna wanaume wa aina nne kutegemea na uwezo wao kingono:
1.Kundi la kwanza ni wale ambao wana uwezo mkubwa wa tendo la ndoa, yaani kwao erection is not an issue at all. Ukiolewa na mwanaume wa jinsi hii, jishike kweli kweli maana ni mwendo mdundo. Wanapenda mchezo kila siku, kila wakati hadi sometimes mwanamke anaona kero!
2. Kundi la pili ni la wale wenye uwezo wa wastani. Hawa wanaweza kuvumilia hata kama mtapanga ratiba yenu ya mchezo wenyewe.
3. Kundi la tatu ni la wale wenye uwezo mdogo wa kufanya tendo la ndoa. Hawa wanapata erection ya kuvizia. Wakati mwingine inabidi mwanamke afanyekazi ya ziada ili mzee asimame. Wanaume wengi wa kidhungu wako ktk kundi hili, nadhani wale mliowahi au mpo kwenye mahusiano na wanaume wa kidhungu mtakuwa mashahidi.
4. Kuna la nne ni la wale wasio na uwezo kabisa, yaani si riziki, nadhani wanaeleweka hivyo sina maelezo marefu kuhusu kundi hili.
Ushauri: ni muhimu kumjua mpenzi/mumeo yuko ktk kundi gani ili ujue namna ya kuishi naye vizuri kingono! Hii itasaidia kuepusha lawama na malalamiko ambayo yanatokana na nature.
Samahani kama ni marudio!
Exactly mkuu, ila pia itakusaidia kujua tatizo lake na hivyo kumvumilia na kumsaidia zaidi ktk mchezo wenyewe. Otherwise, utaishia kumlaumu na hapo utakuwa ndo unamfanya asijiamini kabisa!!!
hdi kwenye si rizki umoo duuhAsa vipi kwa wale ambao tupo makundi yote' yaani four-in-one?!
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Lakini mkuu huo mchezo si utachochea watu kuwa 'waonjaji' na kuacha tu kwa kisingizio kwamba hamna nguvu sawa?
Suala si kujua kama nguvu sawa, suala ni kuweza kujua mapungufu ya mwenzio ili uweze kufanya maamuzi sahihi. Hili ni muhimu sana kwa mwanamke kujua uwezo wa mwandani wake
Naturally, kuna wanaume wa aina nne kutegemea na uwezo wao kingono:
1.Kundi la kwanza ni wale ambao wana uwezo mkubwa wa tendo la ndoa, yaani kwao erection is not an issue at all. Ukiolewa na mwanaume wa jinsi hii, jishike kweli kweli maana ni mwendo mdundo. Wanapenda mchezo kila siku, kila wakati hadi sometimes mwanamke anaona kero!
2. Kundi la pili ni la wale wenye uwezo wa wastani. Hawa wanaweza kuvumilia hata kama mtapanga ratiba yenu ya mchezo wenyewe.
3. Kundi la tatu ni la wale wenye uwezo mdogo wa kufanya tendo la ndoa. Hawa wanapata erection ya kuvizia. Wakati mwingine inabidi mwanamke afanyekazi ya ziada ili mzee asimame. Wanaume wengi wa kidhungu wako ktk kundi hili, nadhani wale mliowahi au mpo kwenye mahusiano na wanaume wa kidhungu mtakuwa mashahidi.
4. Kuna la nne ni la wale wasio na uwezo kabisa, yaani si riziki, nadhani wanaeleweka hivyo sina maelezo marefu kuhusu kundi hili.
Ushauri: ni muhimu kumjua mpenzi/mumeo yuko ktk kundi gani ili ujue namna ya kuishi naye vizuri kingono! Hii itasaidia kuepusha lawama na malalamiko ambayo yanatokana na nature.
Samahani kama ni marudio!
Nadhani kufanya hivyo mkiwa ndani ya ndoa ni bora zaidi kwa sababu mnaanza kwa kupendana kwanza jinsi mlivyo bila kuangalia uwezo wa mapigo au vitu vingine. Na kwa kuwa unakuwa umempenda mwenzio ni rahisi kumwelewa, kumvumila na hata kutafuta njia za kumsaidia au kutafuta balance ili mwendeleze pendo lenu.