Ombi maalum.

Mwanakili90

JF-Expert Member
Nov 24, 2010
1,568
245
Chit chat vema..?
Najua wengi mtakua mmeitikia vema,vema, vema sana.

Kwa kuwa wengi wetu tuna ndugu jamaa na wadogo zetu waliofeli(japokuwa mimi sikuwa na ndugu wala mdogo wangu aliyemaliza mwaka jana).

Kipekee nachukua nafasi hii kuwajulisha members wote walio na failures majumbani kwao,watumie PM kunijulisha ili niweze kushugulika na huzuni na majonzi ya hao ndugu zao siku ya kesho tarehe 14.

Note:wanawake waliofeli ndo walengwa.
 
Ok. Lengo lako nishalifahamu, unatake advantage ya huzuni waliokuwa nayo kutokana na kufeli mtihani ili kumake sexual relathionship nao.Kwani wanafunzi wa kiume waliofeli hawahitaji upendo? Nakupa tahadhari, katika ya hao wanafunzi wa kike waliofeli yupo mtoto wa MKUU WA KAYA. Umechoka kukaa uraiani eeh? haya tutakuja kukuona SEGEREA.
 
kwani kesho kuna nini....mpaka ukusanye lundo la kuhuzunika.....?
 
Back
Top Bottom