Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 245
Chit chat vema..?
Najua wengi mtakua mmeitikia vema,vema, vema sana.
Kwa kuwa wengi wetu tuna ndugu jamaa na wadogo zetu waliofeli(japokuwa mimi sikuwa na ndugu wala mdogo wangu aliyemaliza mwaka jana).
Kipekee nachukua nafasi hii kuwajulisha members wote walio na failures majumbani kwao,watumie PM kunijulisha ili niweze kushugulika na huzuni na majonzi ya hao ndugu zao siku ya kesho tarehe 14.
Note:wanawake waliofeli ndo walengwa.
Najua wengi mtakua mmeitikia vema,vema, vema sana.
Kwa kuwa wengi wetu tuna ndugu jamaa na wadogo zetu waliofeli(japokuwa mimi sikuwa na ndugu wala mdogo wangu aliyemaliza mwaka jana).
Kipekee nachukua nafasi hii kuwajulisha members wote walio na failures majumbani kwao,watumie PM kunijulisha ili niweze kushugulika na huzuni na majonzi ya hao ndugu zao siku ya kesho tarehe 14.
Note:wanawake waliofeli ndo walengwa.