Ombi Maalum Kwa JK!

Ombi Maalum Kwa JK!

JK asipothibitisha Jinsi TL anavyowachanganya wengi kwa matumizi mabovu ya sheria si na yeye (JK) atakuwa amejichanganya na kuwachanganya wengi zaidi ya Tundu Lissu hasa kwa kushindwa hata kuutumie msemo wake mwenyewe-Akili za kuambiwa Changanya na za kwako.
 
Mheshimiwa JK,
Wewe ni mtu mkubwa sana na kila unaloongea linapewa uzito unaostahili! Jana umedai kuwa "Mwanasheria maarufu, Tundu Lissu anachanganya Sheria na anawachanganya na wengina nao wanamwamini!"
Ombi: naomba Mhashimiwa JK utuambie ni Sheria ipi ambayo TL alichanganya na kuwachanganya wengine!

Nahofia kwamba inawezekana uliyejichanganya ni wewe kwa kutokujua Sheria!
Au unaposikia akina Jaji Werema anaporusha madongo huko Bungeni unaamini kuwa madongo hayo yana ukweli wowote! Hata hivyo ulituambia kuwa akili za kuambiwa changanya na za kwako! Kwa hiyo nilikuwa natarajia kuwa angalau za kuambiwa/kusikia ungechanganya na za kwako! Otherwise unajidhalilisha sana kuponda mtu ambaye ana-Practice fani ambayo hujui lolote au unajua kidogo kuhusu fani hiyo!
miaka arobaini na saba iliyopita usingethubutu kuongea haya wewe kwa mkuu wa ''nji''? ha ha ha
 
Wewe huoni kuwa JK huwa ana kinyongo kisichoisha na Tundu Lissu utafikiri kuna hidden agenda? Rejea kauli ya kwanza kabisa kuwa ni afadhali Dr Slaa kuingia Ikulu kuliko Tundu Lissu kuingia Bungeni! This is too low for our President kufanya personal attacks na mtu binafsi!

Kwa hili hata mimi nalishangaa,kwani kikwete aliongea kama nani,au nchi hii ni baba yake? Mambo mengne anaropoka kutokana na ufinyu wa fikra tu. Ni mchumi ila uchumi wenyewe haujui kutwa kwenye kuzurura safari zisizo na maana,sasa anaingilia sheria,hii sheria aliisomea wapi na lini?
 
Rais alikuwa anatania tu, hafu naomba umwache anakazi nyingi sana za kufanya, kwasasa anasuka upya baraza la mawaziri, wajumbe 201 wa bunge la katiba, operation tokomeza phaseII, tumpe muda tafadhali

Mheshimiwa JK,
Wewe ni mtu mkubwa sana na kila unaloongea linapewa uzito unaostahili! Jana umedai kuwa "Mwanasheria maarufu, Tundu Lissu anachanganya Sheria na anawachanganya na wengina nao wanamwamini!"
Ombi: naomba Mhashimiwa JK utuambie ni Sheria ipi ambayo TL alichanganya na kuwachanganya wengine!

Nahofia kwamba inawezekana uliyejichanganya ni wewe kwa kutokujua Sheria!
Au unaposikia akina Jaji Werema anaporusha madongo huko Bungeni unaamini kuwa madongo hayo yana ukweli wowote! Hata hivyo ulituambia kuwa akili za kuambiwa changanya na za kwako! Kwa hiyo nilikuwa natarajia kuwa angalau za kuambiwa/kusikia ungechanganya na za kwako! Otherwise unajidhalilisha sana kuponda mtu ambaye ana-Practice fani ambayo hujui lolote au unajua kidogo kuhusu fani hiyo!
 
Rais alikuwa anatania tu, hafu naomba umwache anakazi nyingi sana za kufanya, kwasasa anasuka upya baraza la mawaziri, wajumbe 201 wa bunge la katiba, operation tokomeza phaseII, tumpe muda tafadhali

Wale mawaziri "mizigo" anawa-recycle, ndio unachodai kuwa "anasuka?" Na hiyo operation "tokomeza" si PM alidai kwa "wapigwe tu, maana tumechoka?" Sasa analalamika nini wakati amri ya PM inatekelezwa?
 
TL kesi ya mauwaji north mara iliishia wapi?
 
Baada ya kupata nafuu,eti mgonjwa anamtukana dactari kuwa hajui kutibu!

TAFAKARI!
 
Mimi ningemuomba Jakaya TO WALK THE TALK kama alivyosema kuwa wabunge wa bunge la katiba waweke uTaifa mbele; in fact yeye ndiye anayetakiwa aoneshe njia ya kuweka Utaifa mbele pale atakapoteua wabunge wa katiba kwa kufuata weledi wa hao waliopendekezwa na kuacha ushabiki na visasi vya kichama!!! Asipofanya hivyo atatuachia balaa nchini mwetu wakati yeye atakuwa huko kwao Msoga akilima mihogo!!
 
Mheshimiwa JK,
Wewe ni mtu mkubwa sana na kila unaloongea linapewa uzito unaostahili! Jana umedai kuwa "Mwanasheria maarufu, Tundu Lissu anachanganya Sheria na anawachanganya na wengina nao wanamwamini!"
Ombi: naomba Mhashimiwa JK utuambie ni Sheria ipi ambayo TL alichanganya na kuwachanganya wengine!

Nahofia kwamba inawezekana uliyejichanganya ni wewe kwa kutokujua Sheria!
Au unaposikia akina Jaji Werema anaporusha madongo huko Bungeni unaamini kuwa madongo hayo yana ukweli wowote! Hata hivyo ulituambia kuwa akili za kuambiwa changanya na za kwako! Kwa hiyo nilikuwa natarajia kuwa angalau za kuambiwa/kusikia ungechanganya na za kwako! Otherwise unajidhalilisha sana kuponda mtu ambaye ana-Practice fani ambayo hujui lolote au unajua kidogo kuhusu fani hiyo!
Ni wakati gani alimtaja Lisu? Hakuna popote alipomtaja ila watu mmeshuku kuwa alimtaja yeye kwa sababu ya hulka yake
 
Back
Top Bottom