Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,337
Na wewe Tambua hivi karibu vyuo vyote Tanzania wanatumia mitandao ya kijamii hasa WhatsApp kwa ajili ya kujisomea ambapo wanatumiwa notes na vitu vingi.
Sasa haujui wamewatesa
Sasa haujui wamewatesa
Ujinga ni kwamba KUAMINI kuwa INTERNET imefungwa..
Kitu ambacho si KWELI..
kilichofungwa ni BAADHI ya MITANDAO YA KIJAMII tu
Huduma zote zinapatikana katika INTERNET..
kama kusoma huwa UNASOMA TWITTER?? au Classroom huw inafanyika FACEBOOK?? au WhatsApp??
Tumia akil vzr
Ingia BARABARANI... kama huwez tulia
Na Tutawavunjaa