lutemi
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 1,743
- 1,379
Wanaohusika na Internet tunaomba mturejeshee internet jamani.
Kumbukeni wengine wanasoma online, wengine wanafanya biashara online, wengine internet ndio chakula chao.
Naombeni sana mturudishie hii kitu inatutesa sana.
Issue ya internet mnatuonea hata wale tusiokuwa na mlengo wowote.
Wengine siasa kama police na bangi yaani kwakweli hatutaki hata kusikia mambo ya siasa ila fungueni internet haya ya kutumia VPN ni mateso sana.
Kumbukeni wengine wanasoma online, wengine wanafanya biashara online, wengine internet ndio chakula chao.
Naombeni sana mturudishie hii kitu inatutesa sana.
Issue ya internet mnatuonea hata wale tusiokuwa na mlengo wowote.
Wengine siasa kama police na bangi yaani kwakweli hatutaki hata kusikia mambo ya siasa ila fungueni internet haya ya kutumia VPN ni mateso sana.