Imekuwa kama ibada kwa baadhi ya watu kututaka tujiajiri wakati hatuna A wala BE.
Sasa basi, tuko 20 tuna nguvu Alhamdullilah na tumesoma mpaka chuo na tuna shahada halali. Ombi letu kwenu nyiye munaohubiri tujiajiri:
Sasa basi, tuko 20 tuna nguvu Alhamdullilah na tumesoma mpaka chuo na tuna shahada halali. Ombi letu kwenu nyiye munaohubiri tujiajiri:
- Ardhi nzuri 200 acres
- Tractor na accessories zake zoote na kiasi kidogo cha pesa cha kuanzia