Ombi kwa wanaotaka wahitimu tujiajiri

Ombi kwa wanaotaka wahitimu tujiajiri

Yaani hii mifisadi yenye vitambi kazi kuongea pumba tu.,..shenz

Binafsi nina mpango wa kuanzisha kundi la kimafia nikusanye ushawishi wa vijana ndani na nje ya nchi.....hadi humohumo idara kuu baada ya hapo ni mapinduzi tu
 
Kama mko serious nna ekar elfu 23 naweza wapa 1000 kule Naberera Simanjiro. Trekta ninalo ingawa linataka matengenezo sana kuna nyumba 13 nzuri sana za kuishi. Kama mpo tayari kuvumilia miezi sita tu mtavuna maharage gunia sio chini ya mia sita na kuuza kwa bei ya laki mbili au 180,000.
Njooni tuunde kampuni tukaanze kazi msimu wa kulima ndio huu sasa.
Bila mtaji inakuwaje
 
Yaani hii mifisadi yenye vitambi kazi kuongea pumba tu.,..shenz

Binafsi nina mpango wa kuanzisha kundi la kimafia nikusanye ushawishi wa vijana ndani na nje ya nchi.....hadi humohumo idara kuu baada ya hapo ni mapinduzi tu

Kijana chunga sana maneno yako,utaishia pabaya
 
Hawawezi kutoa hivyo vitu kwasababu wansema tu mjiajiri lakini hawajui hata requirement zinazotakiwa ili mtu ajiajiri
Sawa na mzazi anayemfukuza mtoto nyumbani akaanze maisha uraiani bila kumpa mtaji
 
Back
Top Bottom