masssaiboi
JF-Expert Member
- Feb 10, 2009
- 636
- 134
Mkuu.Mie nipo bongo na nimepata viza ya kumjoin wife US, ila pia nimepata kazi ya prof na malipo ni kama 3mil.
Hivyo naombeni ushauri wenu kama nije US au nipige job bongo, ningependa kusikia kutoka kwa watu waliokuwa bongo recently.
Nimekaa Euro mpaka karibuni hivyo najua mikiki ya life na wife kazi zake ni hizo hizo za wahamiaji.
Huko USA umeshapata kazi au ndio utaenda kubangaiza? Anyway yote yanategemea na wewe unajali nini kati ya career, familia, uzalendo kwa nchi yako, na mengine mengi.
mkuuKazi ni mpaka nifike ndio nitafute na priority kwangu ni kazi kwani bila job hata familia inasambaratika.
Wanajf mnaoishi USA naomba maoni yenu.
Mie nipo TZ ila mke wangu anaishi US na nimefanikiwa viza ili nije nimjoin . Tatizo ni kuwa nimepata kazi ya prof bongo na nategemea mshahara wa kama 3million, sasa nipeni maoni yenu kama ni ww ungechagua kazi au kwenda US.
Nmeishi Euro kama miaka sita hivi nimerudi recently baada ya kuchoka, hivyo najua nn kitatokea nkienda US. Wife kazi zake ni hizo hizo wanazofanya wageni na mara nyingi analalamika kuchoka kwani analala hm nights 3 tu siku zingine ni kazi 24 hrs.
Naomba maono yenu esp kutoka kwa watu waliotoka bongo miaka au siku za karibuni.
Ahsante
Hapo kwenye RED hakuna nchi inayoitwa euro, pili inaonekana hauna plan na maisha yako mwenyewe sasa itakuwa vigumu mtu mwingine kukupa ushauri, tatu haujasema kama Marekani umeshapata kazi au ukifika ndio utafute kazi. ila ni kichaa tu peke yake ambaye anaweza akakuamini eti kwa msoto huu mtu ulipwe millioni tatu halafu uache kazi uende kuishi utumwani, i don't buy this story.
Hapo kwenye RED hakuna nchi inayoitwa euro, pili inaonekana hauna plan na maisha yako mwenyewe sasa itakuwa vigumu mtu mwingine kukupa ushauri, tatu haujasema kama Marekani umeshapata kazi au ukifika ndio utafute kazi. ila ni kichaa tu peke yake ambaye anaweza akakuamini eti kwa msoto huu mtu ulipwe millioni tatu halafu uache kazi uende kuishi utumwani, i don't buy this story.
Euro is short 4 europe, sikutaka kuwa specific so as to hide my ID. Pia nimesema ndio tu nimepata visa so huwezi omba kazi mpaka uwe ndani ya US.
Ni case ya ukweli so if you dont trust just dont comment, na it was meant 4 US residents only
Nasisitiza hakuna nchi inaitwa europe, kutaja kama ulikuwa UK. Holand, German, Spain, France n.k hakuwezi kukutambulisha ki namna yeyote ili sababu ni Watanzania wengi sana wameishi na wanaendelea kuishi kwenye nchi hizo. na kama unataka mawazo ya watanzania waliopo U.S,A labda ungeomba tukupe blogu zao, humu JF hawaingii watu wajingajinga.
Nasisitiza hakuna nchi inaitwa europe, kutaja kama ulikuwa UK. Holand, German, Spain, France n.k hakuwezi kukutambulisha ki namna yeyote ile sababu ni Watanzania wengi sana wameishi na wanaendelea kuishi kwenye nchi hizo. na kama unataka mawazo ya watanzania waliopo U.S,A labda ungeomba tukupe blogu zao, humu JF hawaingii watu wajingajinga.
Nasisitiza hakuna nchi inaitwa europe, kutaja kama ulikuwa UK. Holand, German, Spain, France n.k hakuwezi kukutambulisha ki namna yeyote ile sababu ni Watanzania wengi sana wameishi na wanaendelea kuishi kwenye nchi hizo. na kama unataka mawazo ya watanzania waliopo U.S,A labda ungeomba tukupe blogu zao, humu JF hawaingii watu wajingajinga.
ndio tu nimepata visa so huwezi omba kazi mpaka uwe ndani ya US.