Samia atosha tukutane2030
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 17,169
- 48,681
Rais Samia tafadhali naomba usicheke na yeyote kwenye mambo ya kitaifa. Usiwe mpole sana. Huo upole wako ndio uliopelekea ghasia za October 29 -31.
Wanasiasa walioumizwa kipindi cha Magufuli hawakuweza kutoa kauli yoyote , wanasiasa waliozoea kula pesa za ubunge lakini Magufuli akaweka wabunge wake wakaamua kwenye uongozi wako ndio wajionyeshe miamba.
LISSU alipigwa risasi kwa amri ya MAGUFULI kila mtu anajua . Na Makonda ndiye aliyeongoza kikosi kazi cha kumuua LISSU lakini LISSU hajaleta kauli za no reforms no election kipindi cha Magufuli, aliingia kwenye uchaguzi mazima mazima .
Hawa akina Heche walichezewa rafu za mchana kweupe na Magufuli lakini hawajawahi kudai katiba mpya kwa nguvu kipindi cha Magufuli.
Kwahiyo kwenye uongozi wako please wasifanye kituo cha mapumziko.
Yeyote atakayekuchukulia poa mnyooshe mpaka ajue kuwa wewe ni Amiri jeshi mkuu.
Kuna wajinga mpaka sasa hawaamini kuwa wewe ni Amiri jeshi mkuu
Wanasiasa walioumizwa kipindi cha Magufuli hawakuweza kutoa kauli yoyote , wanasiasa waliozoea kula pesa za ubunge lakini Magufuli akaweka wabunge wake wakaamua kwenye uongozi wako ndio wajionyeshe miamba.
LISSU alipigwa risasi kwa amri ya MAGUFULI kila mtu anajua . Na Makonda ndiye aliyeongoza kikosi kazi cha kumuua LISSU lakini LISSU hajaleta kauli za no reforms no election kipindi cha Magufuli, aliingia kwenye uchaguzi mazima mazima .
Hawa akina Heche walichezewa rafu za mchana kweupe na Magufuli lakini hawajawahi kudai katiba mpya kwa nguvu kipindi cha Magufuli.
Kwahiyo kwenye uongozi wako please wasifanye kituo cha mapumziko.
Yeyote atakayekuchukulia poa mnyooshe mpaka ajue kuwa wewe ni Amiri jeshi mkuu.
Kuna wajinga mpaka sasa hawaamini kuwa wewe ni Amiri jeshi mkuu