ITV ndio tv pekee iliyobakia kutuletea ukombozi ,tunawaomba muwe wasikivu tafadhali rudieni hizo speech usiku
Wamesikia kilio cha watanzania baada ya taarifa ya habari ngoma itarudiwaWakuu habari ,kutokana na Mh Lowasa mazungumza na watanzania leo saa kumi jioni,na kwakuwa tunasubiri kusikia mambo muhimu yanayolihusu Taifa kutoka kwake.
Ninaomba ITV warudie kipindi Mara baada ya taarifa usiku wa Leo.
Hii inatokana na sababu kuu mbili, mosi ni kuwa watu wengi muda huo atakaozungumza tutakuwa makazini bado pili kuna sehemu kubwa ya nchi umeme umekata muda huu.
Naomba kuwasilisha.
Kilio kimesikika, baada ya habari ITV kila kitu kinakuwa wazi. TANESCO na wanaowatumia hawana chao tena!
Kweli siku zinaenda mbio. Huyu huyu Mussa Alan aliyekuwa anatusiwa humu kwa kuitetea ccm leo yuko ukombozini! Dah! Ni jambo jema lakini. Imeandikwa, "Njooni nyote kwangu, ninyi mlioelemewa na mizigo..."We BAVICHA wewe! tutaagiza wakate tena nchi nzima. tehtehteh!
We BAVICHA wewe! tutaagiza wakate tena nchi nzima. tehtehteh!