Super Handsome
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 3,844
- 6,468
Wakuu habari ,kutokana na Mh Lowasa mazungumza na watanzania leo saa kumi jioni,na kwakuwa tunasubiri kusikia mambo muhimu yanayolihusu Taifa kutoka kwake.
Ninaomba ITV warudie kipindi Mara baada ya taarifa usiku wa Leo.
Hii inatokana na sababu kuu mbili, mosi ni kuwa watu wengi muda huo atakaozungumza tutakuwa makazini bado pili kuna sehemu kubwa ya nchi umeme umekata muda huu.
Naomba kuwasilisha.
ITV ni kituo cha biashara..anacho angaia ni nini anaenefit..si na pesa boss wenu anunue air time! ola 10000 kitu gni kwake?!