TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 15,206
- 25,399
Sina maneno mengi.
Jeshi la Wananchi wa Tanzania nyie ndiyo wenye last action juu ya ulinzi wa kila kitu kilichopo ndani ya nchi hii, chini majini au juu ya uso wa dunia ndani ya mipaka ya taifa letu.
Inafahamika, nyie hamuegemei popote.
Ila kwa wanayoendelea sasa hakika kwa heshima na taadhima ingilieni kati kuokoa taifa hili.
Taifa limekosa mtu wa mwenye last say hivyo kuna vijana wamejipa uzee wanaharibu taifa, ambalo lilipo sasa ni kama linaelekea shimoni.
Mimi tu raia mmoja huku mkoani kwetu napata joto kali kwa haya yanayoendelea nchini hasa kwa kutekwa ovyo raia ambao nyie ndiyo wenye jukumu la kuwalinda.
Kama jeshi la polisi limeshindwa kuwalinda raia hao basi chukueni hatua za haraka kuokoa nchi.
Nitarudi.
Nawasilisha.
Jeshi la Wananchi wa Tanzania nyie ndiyo wenye last action juu ya ulinzi wa kila kitu kilichopo ndani ya nchi hii, chini majini au juu ya uso wa dunia ndani ya mipaka ya taifa letu.
Inafahamika, nyie hamuegemei popote.
Ila kwa wanayoendelea sasa hakika kwa heshima na taadhima ingilieni kati kuokoa taifa hili.
Taifa limekosa mtu wa mwenye last say hivyo kuna vijana wamejipa uzee wanaharibu taifa, ambalo lilipo sasa ni kama linaelekea shimoni.
Mimi tu raia mmoja huku mkoani kwetu napata joto kali kwa haya yanayoendelea nchini hasa kwa kutekwa ovyo raia ambao nyie ndiyo wenye jukumu la kuwalinda.
Kama jeshi la polisi limeshindwa kuwalinda raia hao basi chukueni hatua za haraka kuokoa nchi.
Nitarudi.
Nawasilisha.